Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kuna ushuhuda nimesoma eti michepuko ilitaka kumwibia . Ila na wewe Namba za wanaume wa jukwaa la siasa kina liza na wenzake ufute. Sawa[emoji54]!
Acha watu wajinafasi majukwaa yote bwana
 
Mijanamke ya siku hizi iko sugu mkuu, tena iko sugu kwa kila jambo. Kwahiyo hayaelewi wala kuambilika ... Yani ipoipo tu.
Kenge wewe dont generalize ur problems! kama mkeo kichwa maji wapo wasikivu wanaotunza ndoa zao!
 
Kwani wewe umezoea utafiti unafanyiwa wapi?
Mnatoa mauchafu ya vichwani mwenu alafu mnajitia mmefanya utafiti utafiti gani huo imbalanced kiasi hicho!!! shindwaaa na ulegee
 
Uaminifu umekuwa sifa mbovu mno! Haivutii kabisa!! In fact, you thinking there are faithful people out there is childish and day dream!!

VERY SAD.

Haina tofauti na wanaofikiri wanaume wafanya kazi za nyumbani hawapo. Kuna moja humu aliniambia "wewe tv inakudanganya umeshawahi kuona wapi mwanaume anafanya kazi za nyumbani" 😀

I guess this is the female version.

Some people are living in this tiny box wanazunguka zunguka humooo and that's all they know. Hawajui hilo box liko kwenye go down lenye thousands of boxes.
Teh eti wanaishi in the tiny box , girllllll. Mungu atusaidie
 
Hujasolve tatizo,unamchukuliaje huyu mwanamke unayemuumiza moyo kiasi hiko...dawa ya usaliti wako ni nini?nini maana ya viapo vya ndoa?heshima ya ndoa iko wapi? ukianza moja una guarantee ya kutokuwa cheated on kwani?
Ishu ni pale mtu anacheat hadi anajisahau,mpo wengi tu na tabia hizi...
Na dunia imebadilika sn sikuhizi,mjiangalie vijana,usitegemee binti aishi kama enzi za Akina mama wa zamani wakati wewe pia huishi kama kina baba wa zamani
..Kimaumbile ukimcheat mwanaume akagundua ningumu sana kuendelea n.a. wewe labda awe zoba (Limbwatalized)
 
Back
Top Bottom