LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,449
Piga picha unaishi na mtu ndani na anakusaliti kiasi hiki...unayajua maovu yake na bado hakuridhishi anapoteza nguvu zake nje ana madudu mengi tu,huyu mwanamke ana moyo wa chuma au?..u seriously deserve the pain ya kuwa cheated on piaWanaume tunacheat sana. Unaweza kucheat hata mara 50 ila siku ukisikia au kufumania kitu mubashara either utaua, utalawiti au utavunja ndoa. Tuwe tunakua fair kidogo wakuu..na wao ni watu wenye mioyo. Sometimes wanakuwa na uhakika 98% kwamba wanachotiwa lakini wanamezea tu.
Having said that, let me be wa 39 kati ya 42
Sometimes mtu unavumilia kwa jinsi jamaa anavyokuheshimu na anavyokujali..
Ukizidi,everyone is human...