Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kila kitu maishani kinaenda kwa degree flani ya imani and trusting your partner is no different.

Kuna wanaume wana familia na wanaheshimiwa lakini wanapumuliwa kwa siri. Inawezekana wanaume wote ni mashoga sema they do a very good job hiding it.

Kuna ma serial killer yalikuwa na wake na watoto. Inawezekana kabisa mume kila Siku anaua na kufukia watu huko sema watu hawajamkamata tu.

Betrayal ni sifa mbaya, I put it right next to murder. Atakayeniona wa ajabu nitamuonea huruma tu, manake hadi ukubali kuishi na mtu asiye sensitive na makosa wala guilt conscience lazima ushakua mentally and emotionally fu¢ked and its just sad and pathetic.

Siamini mtu ata cheat bila kuacha a single trace. There are always signs people too busy, too tired, too proud,too dumb to see, or just don't care until reality hits the face.

Just because we see people cheating is no excuse to downplay the VIRTUE of HONESTY and FIDELITY.

Eti ni Imani tu! Subconsciously and indirectly implying everyone cheats and doubting people who say they don't.

Halafu its obvious kuna watu na watu.

Sasa kama wewe Nyani Ngabu kutwa kuflirt na wanawake humu and you've claimed to have slept with married women. Sishangai your skewed view on fidelity.
Halafu you have a daughter. Atakuja kuzaa na mwanaume anayeflirt flirt na watu, na yeye atacheat kwa mume like those women u banged then she'll decide committed relationships are hypocritical
and decide to be a single mum with random partners just because of being influenced by people who dont beleive in values.
I mean do u expect any better!
 
kama kuna kijana anasoma huko, hata usikatishwe tamaa nwanaocheat, na maneno ya waliojikatia tamaa, na watu walioamua kuwa hisia za watu na maadili sio muhimu tena. Hawa wapogo tu

Wala waaminifu sio "boring" au "wenye gubu" kama ilivyosemwa. Wanaocheat ndo wanaboa ndomana kutwa kutafuta flings mpya manake wenyewe hawana jipya. Na kuwa na mwenzi anaye cheat is not very exciting either. Huoni wanavyolia humu!

Hapa Hawa ndo wamepata airtime mno ndomana hali ya Hewa mbaya.

nyumba kubwa say something!
 
Do whatever you want. Hivi mtu hadi anacheat/iba si anaenda kuchukua ambacho hauna wewe? Sasa kwanini asiende moja kwa moja kwa mwenye nacho asihangaike tena?

Cheating is a foolish game .
Hapo sasa
 
Nahisi nikioa nitakuwa kati ya hao 37. Kwenye mahusiano nikiskia au nikajua mwenzangu anacheat huwa sinaga longolongo.
wewe je ukicheat inakuwaje? hatupendi upendeleo ujue😉😉😉😉
 
Sasa kama wewe Nyani Ngabu kutwa kuflirt na wanawake humu and you've claimed to have slept with married women.

Since you took the trouble to mention me, so here I come.

What's wrong with flirting? I am not a married man, for all I know.

Is flirting forbidden or something?

Apropos of me smashing married women, what's wrong with that if they were/are willing participants?

Sishangai your skewed view on fidelity.

My skewed view view on fidelity? How so?

Mind delineating?

Halafu you have a daughter.

Yes I do. A very beautiful and smart one at that. The apple doesn't fall far from its tree.

Atakuja kuzaa na mwanaume anayeflirt flirt na watu,

Ha!

How do you know that? Are you looking into some crystal ball or something?

Do you have clairvoyant powers or something?

Pray tell, please.

na yeye atacheat kwa mume like those women u banged

And you're saying this with a high degree of certitude, huh?

then she'll decide committed relationships are hypocritical

You must be really good at telling what the future holds.

and decide to be a single mum with random partners just because of being influenced by people who dont beleive in values.

So in essence what you are saying here is that I don't believe in values, right?

Negative.

You will never find a person with an unimpeachable rectitude and unquestioned probity more than I.

Moral values are very high on my list.

My beautiful princess is in good hands.

I mean do u expect any better!

With her I expect a whole hell of a lot more than just 'better'.

What else....?
 
Nyie wanawake mlioolewa hivi mnajua wanachowawazia waume zenu pindi ikitokea kakufuma na mchepuko?

Kati ya wanaume 40 walioulizwa ni hatua gani atachukua akijua mkewe anamcheat! Matokeo yako hivi:

Wanaume 37 wamesema watavunja ndoa zao, wanaume 3 wanesema wataua wake zao.

Yawezekana wengi wenu mlikua hamjui waume zenu watachukua hatua gani.
Je kwenu nyie mlilolijua hili na bado mna michepuko mko tayari kuvunja ndoa pindi waume zenu wakigundua?
JE WEWE UNAFAHAMU JIBU LA SWALI HILO KUTOKA KWA WANAWAKE? KAMA UNGELIFAHAMU PIA USINGALICHEPUKA TENA.
 
Kila kitu maishani kinaenda kwa degree flani ya imani and trusting your partner is no different.

Kuna wanaume wana familia na wanaheshimiwa lakini wanapumuliwa kwa siri. Inawezekana wanaume wote ni mashoga sema they do a very good job hiding it.

Kuna ma serial killer yalikuwa na wake na watoto. Inawezekana kabisa mume kila Siku anaua na kufukia watu huko sema watu hawajamkamata tu.

Betrayal ni sifa mbaya, I put it right next to murder. Atakayeniona wa ajabu nitamuonea huruma tu, manake hadi ukubali kuishi na mtu asiye sensitive na makosa wala guilt conscience lazima ushakua mentally and emotionally fu¢ked and its just sad and pathetic.

Siamini mtu ata cheat bila kuacha a single trace. There are always signs people too busy, too tired, too proud,too dumb to see, or just don't care until reality hits the face.

Just because we see people cheating is no excuse to downplay the VIRTUE of HONESTY and FIDELITY.

Eti ni Imani tu! Subconsciously and indirectly implying everyone cheats and doubting people who say they don't.

Halafu its obvious kuna watu na watu.

Sasa kama wewe Nyani Ngabu kutwa kuflirt na wanawake humu and you've claimed to have slept with married women. Sishangai your skewed view on fidelity.
Halafu you have a daughter. Atakuja kuzaa na mwanaume anayeflirt flirt na watu, na yeye atacheat kwa mume like those women u banged then she'll decide committed relationships are hypocritical
and decide to be a single mum with random partners just because of being influenced by people who dont beleive in values.
I mean do u expect any better!
Nyani Ngabu is far better than he might seem in here.

The guy is unbelievably well-mannered.
 
Umeoa halafu mwanamke anakusaliti iyo ni boonge moja ya dharau
Hapo indirect unapewa message kwamba una mapungufu makubwa ya kimwili, kiakili au kipesa
Na mpaka mwanamke anaekupenda kweli afikie lengo la kukusaliti ni kwamba hujali hisia zake...

Vinginevo ngumu sana kukuchepukia
 
Wanaume tunacheat sana. Unaweza kucheat hata mara 50 ila siku ukisikia au kufumania kitu mubashara either utaua, utalawiti au utavunja ndoa. Tuwe tunakua fair kidogo wakuu..na wao ni watu wenye mioyo. Sometimes wanakuwa na uhakika 98% kwamba wanachotiwa lakini wanamezea tu.

Having said that, let me be wa 39 kati ya 42
Umesema kweli kaka... Jitahidini kua fair

Wanaume wengine wanadhani sijui tuna mioyo ya namna gani isiyoumia. Mtu anakuonyesha kabisa anacheat waziwazi
 
Since you took the trouble to mention me, so here I come.

What's wrong with flirting? I am not a married man, for all I know.

Is flirting forbidden or something?

Apropos of me smashing married women, what's wrong with that if they were/are willing participants?



My skewed view view on fidelity? How so?

Mind delineating?



Yes I do. A very beautiful and smart one at that. The apple doesn't fall far from its tree.



Ha!

How do you know that? Are you looking into some crystal ball or something?

Do you have clairvoyant powers or something?

Pray tell, please.



And you're saying this with a high degree of certitude, huh?



You must be really good at telling what the future holds.



So in essence what you are saying here is that I don't believe in values, right?

Negative.

You will never find a person with an unimpeachable rectitude and unquestioned probity more than I.

Moral values are very high on my list.

My beautiful princess is in good hands.



With her I expect a whole hell of a lot more than just 'better'.

What else....?
Duuu
 
Back
Top Bottom