Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

Mijanamke ya siku hizi iko sugu mkuu, tena iko sugu kwa kila jambo. Kwahiyo hayaelewi wala kuambilika ... Yani ipoipo tu.
Eeh eeh Babu weee hebu tutake radhi Dunian hakuna Mijanamke atii [emoji108]
 
Mijanamke ya siku hizi iko sugu mkuu, tena iko sugu kwa kila jambo. Kwahiyo hayaelewi wala kuambilika ... Yani ipoipo tu.
Mijanamke je umemjulisha na mama yako,dada zako au wao hawapo ktk kundi la mijanajike?
punguza ukali wa maneno.
 
Daby mi naomba tuache tu kuchepuka kaka yako usikute yupo kwenge hao wa 3 [emoji5]
Kuna ushuhuda nimesoma eti michepuko ilitaka kumwibia . Ila na wewe Namba za wanaume wa jukwaa la siasa kina liza na wenzake ufute. Sawa[emoji54]!
 
Wanaume tunacheat sana. Unaweza kucheat hata mara 50 ila siku ukisikia au kufumania kitu mubashara either utaua, utalawiti au utavunja ndoa. Tuwe tunakua fair kidogo wakuu..na wao ni watu wenye mioyo. Sometimes wanakuwa na uhakika 98% kwamba wanachotiwa lakini wanamezea tu.

Having said that, let me be wa 39 kati ya 42
[emoji122] [emoji122] [emoji122] point
 
Unajua dawa ya kusalitiwa sio kusalit. Hata vitabu vitakatifu vyote biblia na kuran vimeruhusu kuachana iwapo kuna ushahidi wa kusalitiwa.
Uwezo wa mwanaume katika mahusiano unazidi wa mwanamke. Mwanaume anaweza kuwa na uhusiano na wanawake zaid ya mmoja na asipoteze upendo kwa mke wake. Wengine hata wamekuwa na wake wengi na wameishi vizuri.

Lakini wanawake akisha cheat ujue amesha kuvua akilin mwake. Yaani anakushusha thaman kwanza. Unakuwa hauna maana kwake ndo anaenda kumvulia chupi mwingine. So ukishakuwa na uhakika kuwa mkeo ka cheat ina maana haupo tena akilin mwake. Na hata siri zako zote ameshazitoa kwa huyo firaun mwenzake. The best way you can do ni kuachana nae on point kabla hajawa sumu mbaya kwako au kabla hajakumalizia kabisa.

Akiku cheat na ukavumilia hakuna kitu cha maana mtakacho fanya kama familia.
Utafiti huu na wewe umeufanyia wapi?
 
6 na 9 yote majibu inategemea upande unakosimamia kuisoma hiyo namba, Tatizo wanaume mlizoea kuwaona wanawake kaa viumbe dhaifu, viumbe wa kulia lia, kuogopa mwanadamu kuliko Mungu....!! Tumevumilia tumechoka na sie tuna reproductive organ kama zenu ambazo tukiwaona waliowazidi nyie na sie vinanyevua nyevua ila tunaufyata kwa heshima ya ndoa zetu, hebu badirikeni jaman.. Kwani vile viapo vya uaminifu tulivyoapa si kwa ajili yetu sote!! Kwani mliambiwa nyie Mchokonoe vya nje ila sisi tubaki ndani tunasubiri minyororo yenu..!!
Na sisi tuna Moyo sio jiwe.
 
Kuna ushuhuda nimesoma eti michepuko ilitaka kumwibia . Ila na wewe Namba za wanaume wa jukwaa la siasa kina liza na wenzake ufute. Sawa[emoji54]!
Nimefuta kuanzia sasa, maana ugali ni mgumu kupatikana lakini mtamu 3/40 si kitu mchezo
 
Sema ni majority ya wanaume; "All" is a very stong word . Still wapo wanaume ambao ni waaminifu sana tu. Sema wengi wetu tunajipa moyo kuwa wote wanacheat kama justification kuendelea kuwa abused emotionally. Ukiamua kuvumilia/ kumbeba partner mchepukaji mvumilie/mbebee tu, but usije kujipa matumaini kuwa all men cheat, Haipo hiyo
Saying that, Ndoa zote zina changamoto, ila kuna wanandoa ambao uaminifu haujawahi Kuwa changamoto kwao kabisa.
Huwa unanifurahisha sana unapotoa comments zako. Mzima wewe lakini pia pole sana kwa msiba wa mzee.
 
Back
Top Bottom