Kwa Wanawake tuu

u ar my blessing wifi,lol
nausubiria mzigo wangu, na ww kwa vi-surprise kama kakako! thanks in advance

Wee ndo unanirahisishia... you goodness makes me want to be good to you....lol

Nimesikia kaka yake amepewa offer ya kazi kwenye wizara ya Jairo. LOL

C bora kakangu ni wizara moja ofisi mbali mbali... baada ya uchunguzi wa kina nasikia
wee ndo huyo the forth toka kushoto... hivo uko katika black list ya all the ladies wameona hio picha...lol
 
aaisee... labda mwenye ali chose wrong...lol... My mine does all the heavy lifting...

tena kwa kupenda kabisa.. maana hataki nihangaike pande hizo...lol

Inabidi afanyiwe mpango ahamishiwe wizara ya Jairo. Kutakuwa na kusukuma magari sana pale. Tena haya ya VX, nk need people who do heavy lifting. LOL.
 
Inabidi afanyiwe mpango ahamishiwe wizara ya Jairo. Kutakuwa na kusukuma magari sana pale. Tena haya ya VX, nk need people who do heavy lifting. LOL.


Itabidi tumuulize King anasemaje kuhusu hilo... maana mie hua siwaingiliii saana... ila sababu i want my man to get leaner (as per your article..) ngoja nikamuingie wangu aende apate kazi pale... good for the health you know.. with all this cardio and stuff...lol
 
Wee ndo unanirahisishia... you goodness makes me want to be good to you....lol



C bora kakangu ni wizara moja ofisi mbali mbali... baada ya uchunguzi wa kina nasikia
wee ndo huyo the forth toka kushoto... hivo uko katika black list ya all the ladies wameona hio picha...lol

He he hee. Mie dakitari alinishauri since last month nisibebe au kusukuma vitu vizito. Kama vile alijua, maana naona naanza kusingiziwa. LOL. Dah! Baba anarudi home, mara mtoto anamwambia? "Daddy, I saw you on the telly pushing a car. Was that our car? Did it broke down? " Na kama han gari: "whose was that car you were pushing on the telly for?" Mama watoto yuko pembeni anasubiri details answers.
 
emt, kakae ashadii is too much a man for jairo and their like! hajui kulamba viatu, a truly african man! if it was nt for him, i would have crossed over,lol
:embarrassed:
Nimesikia kaka yake amepewa offer ya kazi kwenye wizara ya Jairo. LOL
 
Itabidi tumuulize King anasemaje kuhusu hilo... maana mie hua siwaingiliii saana... ila sababu i want my man to get leaner (as per your article..) ngoja nikamuingie wangu aende apate kazi pale... good for the health you know.. with all this cardio and stuff...lol

Yea atasaidia kuzungusha na zile mashine za kuzalisha umeme tupate umeme. LOL
 
carrying me around the house is enough to tone his good muscles. he doesnt need kibarua cha kusukuma magari,lol!

Itabidi tumuulize King anasemaje kuhusu hilo... maana mie hua siwaingiliii saana... ila sababu i want my man to get leaner (as per your article..) ngoja nikamuingie wangu aende apate kazi pale... good for the health you know.. with all this cardio and stuff...lol
 
He he hee. Mie dakitari alinishauri since last month nisibebe au kusukuma vitu vizito. Kama vile alijua, maana naona naanza kusingiziwa. LOL. Dah! Baba anarudi home, mara mtoto anamwambia? "Daddy, I saw you on the telly pushing a car. Was that our car? Did it broke down? " Na kama han gari: "whose was that car you were pushing on the telly for?" Mama watoto yuko pembeni anasubiri details answers.


ha ha ha... What do you answer to such questions... You pretend like you don't perceive of what the kid is inquiring about... and you go like... hey, did mom do anything in particular today?? lol... as if you are interested in the feed back....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Yea atasaidia kuzungusha na zile umeme tupate umeme. LOL

Umeona eeeh?? Yaani kichwa kweli kweli... akiingia pale in two weeks tatizo la umeme kuchinehi....lol

carrying me around the house is enough to tone his good muscles. he doesnt need kibarua cha kusukuma magari,lol!

Mmmh! my wii .... so he carries you around... Dah! (mkiwa mnafanya nini vile?? lol)
 
emt, kakae ashadii is too much a man for jairo and their like! hajui kulamba viatu, a truly african man! if it was nt for him, i would have crossed over,lol
:embarrassed:

King'asti unafikiri watu wananzaje kulamba viatu? Kila kitu kina mwanzo even to the truth African men. Lakini hii picha inaweza ku substantiate claims zenu kuwa wanaume wa siku hizi wamepungua ule u true man.

On the other hands, imagine kama waliambiwa wasukume gari halafu wakatae na kufukuzwa kazi. Arudi home jobless. Hakuna wanawake ambao wangesema ni heri ungesukuma tuu hiyo gari kuliko kupoteza kazi? Utasikia mwanaume gani hawezi hata kusukuma gari?

Wifi yako naona ha-mind mtu wake kusukuma gari. Itabidi nitangaze kazi ya Car Pusher. LOL
 
carrying me around the house is enough to tone his good muscles. he doesnt need kibarua cha kusukuma magari,lol!

It depends how heavy you're. If you're too light, he gotta look for some heavy stuff. LOL
 
King'asti unafikiri watu wananzaje kulamba viatu? Kila kitu kina mwanzo even to the truth African men. Lakini hii picha inaweza ku substantiate claims zenu kuwa wanaume wa siku hizi wamepungua ule u true man.

On the other hands, imagine kama waliambiwa wasukume gari halafu wakatae na kufukuzwa kazi. Arudi home jobless. Hakuna wanawake ambao wangesema ni heri ungesukuma tuu hiyo gari kuliko kupoteza kazi? Utasikia mwanaume gani hawezi hata kusukuma gari?

Wifi yako naona ha-mind mtu wake kusukuma gari. Itabidi nitangaze kazi ya Car Pusher. LOL


EMT acha ukorofi...lol... Mie nilikua na maana kua abadili nafasi ya Jairo....lol... sio kusukuma gari....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Maskini wanatia huruma itakuwa ni maofisa masijala maybe, halafu wote mbona kama wana wowowo?

Shantel kama tuna watu powerful kama hawa masijala kusingekuwa na mgao wa umeme.
 
ha ha ha... What do you answer to such questions... You pretend like you don't perceive of what the kid is inquiring about... and you go like... hey, did mom do anything in particular today?? lol... as if you are interested in the feed back....

"did mom do anything in particular today" wakati yeye mwenyewe yupo hapo pembeni anasubiri jibu? Atabadilisha topic na kumbana mama kwa nini anawaacha watoto wanaangalia TV asubuhi badala ya kuwa shule wakati shule zimefungwa. LOL.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom