bila shaka tutakuwa wawili na majibu nitampa mkeo
We unataka kuharibu ndoa yaani umwambie Dena Amsi ulinikagua aise hapatalalika
Last edited by a moderator:
bila shaka tutakuwa wawili na majibu nitampa mkeo
Thanks na karibu sana
Leo tumepatikana kaka..anataka atukague na sisi............We unataka kuharibu ndoa yaani umwambie Dena Amsi ulinikagua aise hapatalalika
Haya hii ndio miziki niliyokuwa nasikiliza nikiwa bado kijana,utaniweza..??
sitoharibu ndoa yako ila anatakiwa ajuzwe ubora wako.
Hivi uko sirias au..............
Yaani hata sijui nikwambieje tu.Lakini leo umetukamata.Ila kam mchumba Wangu hatasoma hii,niko tayari kukaguliwa.....kwani kuna mtani wangu humu?
Niko serious atii!!!!!!
Yaani hata sijui nikwambieje tu.Lakini leo umetukamata.Ila kam mchumba Wangu hatasoma hii,niko tayari kukaguliwa.....
good boy!! Njoo fasta basi kabla huyo mwanamwali hajaona
Yaani leo umeamua kabisa kuwa unataka kutukagua............amekimbia ukaguzi kaacha ma yeboyebo yake hapa
Yaani leo umeamua kabisa kuwa unataka kutukagua............
Good Good..!
Internal or external audit @ Lady doctor
Lady doctor kama unajisikia kutaka kunikagua na mimi hebu omba visa kwa mwaJ.
Tahadhari: Mimi huwa nachukua pointi zote viwanja vya ugenini mbele ya mashabiki wa timu ya nyumbani, hakuna droo ama kushindwa.
Ukipata visa nitawahitaji wote katika zoezi la ukaguzi.
cc: Binamu Madame B na The secretary