africana mtwys
Senior Member
- May 8, 2013
- 173
- 23
Hakuna mrembo zaidi ya mke wangu!!!
Mpigie simu mkeo, ongea naye, umuulize yeye maisha yake anayaendeshaje bila wewe huko aliko. Then, ufanye kama anavyofanya, maana nyie ni mwili mmoja.
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.
Kama vipi mfuate aliko, ukapige kadhaa na urudi... Ila wasiliana naye usije ukafunga safari kumbe mwenzio yupo hedhini...Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.
Hahaha....
Nahisi mawazo yako yameenda mbali kweli kweli...si hivyo ndugu yangu kama ulivyofikiri.
Unachokikosa wewe sio ngono peke yake bali unakosa kampani pia.
Wakati mwingine porojo za hapa na pale zitafanya akili yako isitekwe na mawazo ya kingono.
Mawaza ya ngono kwa mwanaume huja kwa namna mbili, ya kwanza huja kwa kuumba fikra ya matamanio na pili huja kwa kuona au kusikia vishawishi.
Ukijitahidi kuyakosa hayo mambo mawili basi ngono unakuwa umeishinda kwa kiasi kikubwa.
Kamata papai lililoiva kata upate tundu size uitakayo anika juani unapoenda kazini,ukirudi jion utakuta limekauka na lina ujoto kwa ndani ingiza huyo babu..TWENZETU!
Acha ujinga kabisa,,mimi nililala na mke wangu kwa miezi 6 akiwa na mtoto mdogo bila kuduu,inakuwaje wewe ushindwe? Kwanza umri wako ukoje, vijana wadogo ndo hawawezi,
Mkuu kwanza pole sana
Mimi mwenzio yalisha nikuta hayo kama 5 month hivi mkuu cha kufaya jaribu sana kuwasiliana na mke wakati wa kulala mpigie simu kwa kama nusu saa hivi mkuu jaribu kuvuta hisia kama vile mpo pamoja in the same truck mkuu itakusaidia sana.
Mkuu kama hujaharibu natoa pongezi sana kwa uamuzi wako ni wachache wenye moyo huo tatizo lako ni dogo sana wewe huwa unalala kibudu.
Namaanisha kuwa wewe ukilala huwa huna maombi fanya maombi mpaka utakapo pitiwa na usingizi hali hiyo itatoweka shetani huwa ankuchezea. Mimi mkuu nafanya kazi nje huwa napiga mpka miezi sita bila shaka na nikiona halinkama hii huwa naikiwa kwa bed nasoma maneno matakatifu mpaka nalala. Usikie ushauri wa kwenda kona baa ni laana hiyo
Ubarikiwe mkuu