Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.

Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,

Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.

Mi nshakaa mwaka nje ya nchi, wewe ezi mbili tu unalialia?
Hiyo inaitwa ndoa ndoano, ukinasa hutoki.
 
mimi namjua mdada mmoja ambaye alienda kusoma mwaka na nusu, lakini akapata home sickness akaacha shule akarudi kubemebeleza mume.mwambie mkeo ukweli, anaweza pia katisha course. mimi mambo ya kusoma nje nilishajikataliaga, wanangu nalea mwenyewe, nitasoma humuhumu.mbona vyuo vipo?(samahani naona nimeingia kwenye 'FOR GENTS', but nilikuwa nimefunga mlango)
 
Mvaa Tai
Hakuna suluhu moja inayotatua matatizo yote, mazingira yanatofautiana sana kati ya mtu na mtu. Watu watatoa ushauri mwingi sana, wengine mzuri na wengine mbaya.

Kwanza nikupongeze kwa kukaa miezi miwili na kuvumilia, na nna imani ukiendelea kuona fahari zaidi juu ya ushindi wa hiyo miezi miwili na kuacha kuogopa miezi minne ijayo, itakupa ujasiri sana na nguvu za kuendelea kuwa vumilivu.

Nilichojifunza maishani, kitu ukiwa unakiwaza sana na kuogopa sana kisikupate, ndivyo utakavyotumia muda mwingi kupingana nacho.

Ukiamua kutoka nje ya ndoa leo, huenda ukasababisha matatizo makubwa na ikwa mwanzo wa majuto kwenye maisha yako. Kuanzisha tabia mara nyingi sio tatizo sana, ila kuiacha ndio mtihani.

Naomba nikuache na hii mistari uisome kila mawazo hayo yanapokujia......

“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambolitakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika”.
 
Last edited by a moderator:
Duh, hii comment yako imevaa makombati!

Mkituona tuna watoto wengi mnatumaindi, ni kwamba mimi naacha mbegu tu nasepa
hata watoto wanavozaliwaga sijuwi full time niko nje ya familia yangu.
kweli humu JF mnatuchanganya, yaani hujawahi kukaa nje ya familia yako hata ezi sita?
Kama umebanwa saaaaaaaana kula hausi geli!
 
Kawaida miezi mitatu ya mwanzo ndio huwa migumu sana, baada ya hapo unastabilize ila inabidi usiguse kabisa maana ukijaribu tu ni kama umetibua. Pia baada ya miezi kama sita au saba hivi uneweza kuwa unapatwa na hasira hasira zisizo za msingi sana. Hapo inabidi uwe makini kidogo maana unaweza tofautiana na mtu kwa kitu kidogo sana hata hakina maana. hii hali huwa inafluctuate kuna wakati inaisha na kurudi. unaweza kukaa hata mwaka bila kufanya hivyo ila kuna kipindi utapita katika wakati mgumu sana lkn kama umeamua utaweza.

Nakutia moyo na maamuzi yako mazuri. huu ni ujasiri mkubwa sana maana kuna wakati watajileta mwenyewe na unanjaa kweli hapo huwa panakuwa patamu. Kama umenuia kweli usiruhusi mahusiano ya karibu sana na mwanamke yeyote, maana hiyo hali ya kuwa close na mwanamke au rafiki yeyote wa kike utakulainisha taratibu nautaishia kula mzigo.

Pia kutokana na msimamo huu baadhi ya wanawake watagundua kuwa huna tabia chafu na baadhi watakuwa interested kujua kama kweli kuna mtu anaweza kuwa na msimamo wa namna hiyo. Hivyo utapitia hali ya kupendwa na wanawake sana isivyokawaida kiasi ambacho usipokuwa makini unaweza kubadili msimamo wako.
 
Mvaa Tai, pole sana! Endelea kufanya mazoezi kwa nguvu na punguza mawazo juu yake. Wahi kurudi nyumbani ili uweze kuwa karibu na watoto kama mnao na pia ili uepukane na vishawishi vya nje. Kama nyumbani hakuna watoto, chelewa kutoka ofisini na ukifika nyumbani chelewa kidogo kulala kwa kupendelea kusoma magazeti,vitabu au kumalizia kazi za ofisini ambazo hukuzimaliza.

Mwisho ukiwa kama mdau wa JamiiForums, tumia muda wako wote ukiwa nyumbani baada ya kutoka kazini kusoma, kuchangia na kuanzisha mada mbali mbali mtandaoni. Njia hii imenifanya nigombane na mke wangu kwani muda mwingi niwapo kwenye kompyuta husahau kula au kuchelewa kulala na hivyo kumnyima mchezo wa baba na mama!
 
Fikiria kuwa utakachokifanya huku na yeye akikifanya kule itakuwaje. Nakushauri uwe unampigia simu usiku, na mnaweza kupata phone sex
 
Usitoke nje ya ndoa ni kosa kuubwa kwa wanandoa, ila nakushauri uemde pale kona bar au buguruni au meeda na ukifika pale angalia mrembo anaemzidi mkeo uzuri then mpakie kwenye gari uende nae guest mkalale tuu. Utakapoamka utakuwa poa

Jesus Classic!
 
mimi namjua mdada mmoja ambaye alienda kusoma mwaka na nusu, lakini akapata home sickness akaacha shule akarudi kubemebeleza mume.mwambie mkeo ukweli, anaweza pia katisha course. mimi mambo ya kusoma nje nilishajikataliaga, wanangu nalea mwenyewe, nitasoma humuhumu.mbona vyuo vipo?(samahani naona nimeingia kwenye 'FOR GENTS', but nilikuwa nimefunga mlango)

Hahaa haaa hii ishu ni tete!!!!
 
Mvaa Tai
Hakuna suluhu moja inayotatua matatizo yote, mazingira yanatofautiana sana kati ya mtu na mtu. Watu watatoa ushauri mwingi sana, wengine mzuri na wengine mbaya.

Kwanza nikupongeze kwa kukaa miezi miwili na kuvumilia, na nna imani ukiendelea kuona fahari zaidi juu ya ushindi wa hiyo miezi miwili na kuacha kuogopa miezi minne ijayo, itakupa ujasiri sana na nguvu za kuendelea kuwa vumilivu.

Nilichojifunza maishani, kitu ukiwa unakiwaza sana na kuogopa sana kisikupate, ndivyo utakavyotumia muda mwingi kupingana nacho.

Ukiamua kutoka nje ya ndoa leo, huenda ukasababisha matatizo makubwa na ikwa mwanzo wa majuto kwenye maisha yako. Kuanzisha tabia mara nyingi sio tatizo sana, ila kuiacha ndio mtihani.

Naomba nikuache na hii mistari uisome kila mawazo hayo yanapokujia......

“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambolitakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika”.

Nimekupata vema shukrani sana ndugu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom