miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Aknogewa je? Afanyaje amwache mke wake?
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.[/QUOT
Ukiendekeza tamaa zitakudrive crazy!
KULA MZIGO HATA YEYE HUKO ATALIWA TU!!!!!!!!!!!
We unafanya yote haya!!!!!!!:car::car:
Ushauri wangu, japo umewaita wanaume wenzio.
1. Either ukatafute mwanamke au mpenzi wako wa zamani.
Hakikisha husahau kuvaa Kondomu.
2. Weka picha la Porn kisha jipigie zako puli taratibu huku ukitazama.
BILA HVO, UTAUMIA VIBAYA...!!!
Kaka huu ushauri nitaufanyia kazi SANTE!! japo namba nne sijakupata vizuri ukifafanua itanisaidia zaidi
Unatafuta nini huku kwa wababa?
wewe ndio maana nakupendaga...
Najua kwa kutokufanya mapenzi siwezi kufa ila cha mtema kuni ndo nitakiona, hapa najaribu kuomba msaada wa mawazo nisikumbane na hicho cha mtema kuni.
huyo anatudanganya,Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.
Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,
Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.
HATA YEYE HUKO ATALIWA TU!!!!!!!!!!!
Ushauri mzuri sana, zamani Enzi za Mwl mtu akizidiwa alifanya hivyo. Usitongoze maana wa kutongoza ataongeza bajeti. Hata hivyo masuala ya mume 1 mke 1 siyo yetu, tumedandia gari kwa mbele. Nakumbuka bibi alikuwa akimtafutia babu mtu wa nje ( mara moja moja kama nyama ya hamu/ mshikaki) na walikuwa wakipendana sana. Siku hizi pete za ndoa nzuri mbwembwe nyingi lakini upendo '0'.Usijidhulumu wewe utaishia kudata bure. Hebu nenda hapo Kona Bar au Meeda baadae leo ukamege.
Nishauri kiongozi mimisina tamaa ila nimetingwa tuu
Hakuna mwanaume aliyeoa anayewaza hivi...
Usipopata soln utuite na sie wanawake watu wazima