Mkuu
Mvaa Tai pole sana kwa yanayokusibu.
Mimi nimesoma shule ya boys tupu, tulikuwa na tatizo kama hilo especially wiki 1 baada ya kutoka disco na wadada. Nimeamua kutoa mfano huu sababu tiba yake inaweza ikaendana na matatizo uliyonayo.
Sasa nakushauri yafuatayo;
1. Usiwaze ngono, usiangalie picha za ngono, usiangalie chochote kuhusu ngono, muwaze mkeo, tabasamu lake, uzuri wake.
2. Usipost kutaka ushauri wa ngono sababu utachangia wewe kufikiria zaidi
3. Nunua mafuta ya taa kidogo tu(kipimo kidogo) halafu changanya kidoogo kwenye msosi, upate tu ile harufu. Hautakaa ufikirie ngono tena.
4. Usiende KONA bar wala usipige PUNYETO
Faida za ushauri wangu ni zifuatazo;
1. Hautakuwa na mawazo kuhusu ngono, mafuta ya taa yatakusaidia kukata mawazo kabisa
2. Usipoenda KONA bar utakuwa umejiepusha na VVU pia na 'NAFSI KUKUSUTA MILELE' kwa kumcheat mkeo. Na tatizo la 'NAFSI KUKUSUTA' itaendelea mpaka kwa watoto wako(ukiwaangalia utaona kama wanajua ulichofanya). Hapo utaishi maisha ya shida sana.
Kaza uzi mkuu, mimi nasafiri kila baada ya miezi miwili mbali na mke wangu, naota ndoto pevu, mzee anasimama, etc lakini msimamo ni ule ule.
Mwisho jishughulishe na sali sana.