Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Mkuu ungeishia hapa tu
Majibu yote yako hapa

Mimi namshauri tu huyu jamaa hebu puuzia kila wazo linalokuja la kuhusu ngono

Ukiona unazidiwa nguvu na mwili[japokuwa hii haiwezekani,kama ikiwezekana ni aibu] hebu acha kufanya ngono uone kama utakufa!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Huwa inashauriwa kujishughulisha ili kuondoa kila aina ya fikra zenye kupelekea kuwaza ngono.

Na zaidi inashauriwa kufanya mazoezi kwani hii huufanya mwili uchoke mwisho wa siku utaishia kuhitaji kupumzika.

Nini cha kufanya?
1 .Ongeza shughuli zitazokuchosha zaidi iwe za kimwili au kiakili

2. Kama una marafiki si mbaya ukawa unakutana na marafiki kubadilishana mambo mawili matatu walau kusogeza kidogo muda, hii itakufanya ubakiwe na muda wa kulala tu.

3. Kama ni mpenzi wa kusoma majarida, vitabu au kuangalia filamu...basi unapokuwa kitandani jaribu kufanya shuguli hizo hadi utapopitiwa na usingizi.

4. Jaribu kutafuta ndugu au jamaa yoyote wa kiume na uishi naye kwa muda huu uliobakia hadi mkeo ataporudi.

5. Kama una namna ya kuwasiliana na mkeo kwa njia ya simu ni vyema zaidi ukawa unawasiliana naye mida ile unayokaribia kulala. (Hii ni muhimu mkuu tena kuliko zote hapo juu).

6. Kama ni muamini basi hakikisha unasali au unasoma maandiko ya Mungu kabla ya kulala.

We unafanya yote haya!!!!!!!:car::car:
 
try
  • consult your right hand...... mastabeti
  • talk to her. tell her you miss her and all that. itapunguza msongo na utapata ari mpya ya kumaintain faithfulness. communication is vital for long distance
  • pray

Thus a gud advise from the real man
Mtoa mada hebu jaribu kumfata huyu bwana nadhani itakusaidia
 
Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Huwa inashauriwa kujishughulisha ili kuondoa kila aina ya fikra zenye kupelekea kuwaza ngono.

Na zaidi inashauriwa kufanya mazoezi kwani hii huufanya mwili uchoke mwisho wa siku utaishia kuhitaji kupumzika.

Nini cha kufanya?
1 .Ongeza shughuli zitazokuchosha zaidi iwe za kimwili au kiakili

2. Kama una marafiki si mbaya ukawa unakutana na marafiki kubadilishana mambo mawili matatu walau kusogeza kidogo muda, hii itakufanya ubakiwe na muda wa kulala tu.

3. Kama ni mpenzi wa kusoma majarida, vitabu au kuangalia filamu...basi unapokuwa kitandani jaribu kufanya shuguli hizo hadi utapopitiwa na usingizi.

4. Jaribu kutafuta ndugu au jamaa yoyote wa kiume na uishi naye kwa muda huu uliobakia hadi mkeo ataporudi.

5. Kama una namna ya kuwasiliana na mkeo kwa njia ya simu ni vyema zaidi ukawa unawasiliana naye mida ile unayokaribia kulala. (Hii ni muhimu mkuu tena kuliko zote hapo juu).

6. Kama ni muamini basi hakikisha unasali au unasoma maandiko ya Mungu kabla ya kulala.
Kaka huu ushauri nitaufanyia kazi SANTE!! japo namba nne sijakupata vizuri ukifafanua itanisaidia zaidi
 
Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Huwa inashauriwa kujishughulisha ili kuondoa kila aina ya fikra zenye kupelekea kuwaza ngono.

Na zaidi inashauriwa kufanya mazoezi kwani hii huufanya mwili uchoke mwisho wa siku utaishia kuhitaji kupumzika.

Nini cha kufanya?
1 .Ongeza shughuli zitazokuchosha zaidi iwe za kimwili au kiakili

2. Kama una marafiki si mbaya ukawa unakutana na marafiki kubadilishana mambo mawili matatu walau kusogeza kidogo muda, hii itakufanya ubakiwe na muda wa kulala tu.

3. Kama ni mpenzi wa kusoma majarida, vitabu au kuangalia filamu...basi unapokuwa kitandani jaribu kufanya shuguli hizo hadi utapopitiwa na usingizi.

4. Jaribu kutafuta ndugu au jamaa yoyote wa kiume na uishi naye kwa muda huu uliobakia hadi mkeo ataporudi.

5. Kama una namna ya kuwasiliana na mkeo kwa njia ya simu ni vyema zaidi ukawa unawasiliana naye mida ile unayokaribia kulala. (Hii ni muhimu mkuu tena kuliko zote hapo juu).

6. Kama ni muamini basi hakikisha unasali au unasoma maandiko ya Mungu kabla ya kulala.
wewe ndio maana nakupendaga like like..hiyo niliyo bold ni nzuri sana as atamsaidia na mkewe pia, usikute nae anakufa na tai shingoni kama Mvaa Tai
 
Last edited by a moderator:
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa.

Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata,

Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.

mkeo anahasara kwakweli...ukokwenye ndoa kweli wewe.? Sina imani na hii story yako kwakweli.
 
Ushauri wangu, japo umewaita wanaume wenzio.
1. Either ukatafute mwanamke au mpenzi wako wa zamani.
Hakikisha husahau kuvaa Kondomu.

2. Weka picha la Porn kisha jipigie zako puli taratibu huku ukitazama.
BILA HVO, UTAUMIA VIBAYA...!!!

Napendaga maushauri yako wewe hujui tu!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Marital fidelity is very important when your partner is away for good reason. Kikubwa ni kuamini kwamba unaweza kuvumilia hadi arudi vinginevyo ukitoka mara moja tu nje ya ndoa basi linakuwa jambo la kawaida kutoka. Usijaribu sumu kwa kuonja!
 
mkuu upo serious nahayo mananeno yako? kama upo serious pole sana ila ushauri' usiendeshwa kwa tamaa na hisia za mwili wako!! maana miezi sita mda mfupi sana.
vip kama ungehukumiwa kifungo cha jela kwa mwaka mmoja ungefanyaje?
au umeandika ili kuonyesha kwamba ww ni rijali huwez kukaa bila kuduu kwa miez sita?
kingine sikushauri kuchukua mwanmke corner baa maana laana ya huko ukianza huwezi kuacha' utakuwa unamuacha mkeo unaenda kutafuta malaya!! tafakari, chukua hatua.!!!

Wewe umewahi kukaa miezi sita bila kufanya mapenzi ukiwa ni mtu uliye oa? na kama umewahi mimi nataka unisaidie nifanyeje kufanikiwa kama wewe.
 

Ningekuwa nataka kula nje nisingetuliza ball miezi miwili, mimi sitaki kutoka nje ndo maana nimekuja hapa labda nitanusurika kwa kupata uzoefu kwa wadau
Lakini ni vyema ukiwa mkweli. Hivi huwa hupati relief kupitia kwenye ndoto?
 
By design kichupa huwa kinadischarge automatically kikijaa so unless uwe na shida nyingine .............................. bali Bichwa la juu(THE MIND). .....................

Hapo kwenye red ndo tatizo lakini nimekupata jinsi ya ku-overcome, thanks though!!!
 
Mbona sie wengine hatupo kwenye ndoa n tunakaaa tu kwA muda mrefu
 
Kamata papai lililoiva kata upate tundu size uitakayo anika juani unapoenda kazini,ukirudi jion utakuta limekauka na lina ujoto kwa ndani ingiza huyo babu..TWENZETU!
 
Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Huwa inashauriwa kujishughulisha ili kuondoa kila aina ya fikra zenye kupelekea kuwaza ngono.

Na zaidi inashauriwa kufanya mazoezi kwani hii huufanya mwili uchoke mwisho wa siku utaishia kuhitaji kupumzika.

Nini cha kufanya?
1 .Ongeza shughuli zitazokuchosha zaidi iwe za kimwili au kiakili

2. Kama una marafiki si mbaya ukawa unakutana na marafiki kubadilishana mambo mawili matatu walau kusogeza kidogo muda, hii itakufanya ubakiwe na muda wa kulala tu.

3. Kama ni mpenzi wa kusoma majarida, vitabu au kuangalia filamu...basi unapokuwa kitandani jaribu kufanya shuguli hizo hadi utapopitiwa na usingizi.

4. Jaribu kutafuta ndugu au jamaa yoyote wa kiume na uishi naye kwa muda huu uliobakia hadi mkeo ataporudi.

5. Kama una namna ya kuwasiliana na mkeo kwa njia ya simu ni vyema zaidi ukawa unawasiliana naye mida ile unayokaribia kulala. (Hii ni muhimu mkuu tena kuliko zote hapo juu).

6. Kama ni muamini basi hakikisha unasali au unasoma maandiko ya Mungu kabla ya kulala.[/QUOTE

*Ushauri huu nimeupenda nadhani ni mzuri na unafaa kuufuata..kaz kwako mvaa tai
 
Mkuu ungeishia hapa tu
Majibu yote yako hapa

Mimi namshauri tu huyu jamaa hebu puuzia kila wazo linalokuja la kuhusu ngono

Ukiona unazidiwa nguvu na mwili[japokuwa hii haiwezekani,kama ikiwezekana ni aibu] hebu acha kufanya ngono uone kama utakufa!!!!!!!!!!!!
Najua kwa kutokufanya mapenzi siwezi kufa ila cha mtema kuni ndo nitakiona, hapa najaribu kuomba msaada wa mawazo nisikumbane na hicho cha mtema kuni.
 
Wewe umewahi kukaa miezi sita bila kufanya mapenzi ukiwa ni mtu uliye oa? na kama umewahi mimi nataka unisaidie nifanyeje kufanikiwa kama wewe.

mazoez na kuondoa mawazo ya ngono kichwani kwako tiba tosha!!
 
Mkuu Mvaa Tai pole sana kwa yanayokusibu.

Mimi nimesoma shule ya boys tupu, tulikuwa na tatizo kama hilo especially wiki 1 baada ya kutoka disco na wadada. Nimeamua kutoa mfano huu sababu tiba yake inaweza ikaendana na matatizo uliyonayo.

Sasa nakushauri yafuatayo;

1. Usiwaze ngono, usiangalie picha za ngono, usiangalie chochote kuhusu ngono, muwaze mkeo, tabasamu lake, uzuri wake.

2. Usipost kutaka ushauri wa ngono sababu utachangia wewe kufikiria zaidi

3. Nunua mafuta ya taa kidogo tu(kipimo kidogo) halafu changanya kidoogo kwenye msosi, upate tu ile harufu. Hautakaa ufikirie ngono tena.

4. Usiende KONA bar wala usipige PUNYETO

Faida za ushauri wangu ni zifuatazo;

1. Hautakuwa na mawazo kuhusu ngono, mafuta ya taa yatakusaidia kukata mawazo kabisa
2. Usipoenda KONA bar utakuwa umejiepusha na VVU pia na 'NAFSI KUKUSUTA MILELE' kwa kumcheat mkeo. Na tatizo la 'NAFSI KUKUSUTA' itaendelea mpaka kwa watoto wako(ukiwaangalia utaona kama wanajua ulichofanya). Hapo utaishi maisha ya shida sana.

Kaza uzi mkuu, mimi nasafiri kila baada ya miezi miwili mbali na mke wangu, naota ndoto pevu, mzee anasimama, etc lakini msimamo ni ule ule.

Mwisho jishughulishe na sali sana.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom