Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,302
- 9,809
Mimi nilivumilia vyote vyote uku mwanzoni ilipofika miezi 5 hivi nikapata safari ya kukaa miezi 6 mpaka anajifungua alipofika mwezi wa mwisho akaanza kunitukana matusi aisee uvimulivu ukanishinda bhna nikaona huu ni ujinga nikarudisha aisee tuligombana mpaka mtoto kajifungua ajasema kimya mtoto anafika miezi 4 ndo ameanza kunitafuta