Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,598
- 2,243
Na mkileta za kuleta nawapiga chini...lol!!
We bado tu umo au unajinsia mbili?
Na mkileta za kuleta nawapiga chini...lol!!
We bado tu umo au unajinsia mbili?
Mpango mzima namba 2 bhana .hawa wengi magumashi tu.waswahili usema 'ukali wa nyuki ndiyo utam wa asali yake'
We cjui ulizaliwa bila bikra!!!!!? Keshasema hii n kwa wanaume tu naww humo duuuh,hiz ndo product za div 5
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?
1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au mpaka uje kwa wazazi?
4) Anakubali lakini No sex mpaka tuoane?
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni, kuchezewa au kuolewa.
Mimi binafsi napendelea sana No 2. Unajua mwanamke akinipa tabu sana siku ya kuja kumpata ntamthamini zaidi na ndio atakuwa mwepesi kwa mimi kutangaza ndoa kwake.
Wa aina hii ananipa matumaini ndani ya moyo kwamba anayejaribu kumchukua kwangu naye itabidi apitie tabu niliyopitia mimi.
Na mkileta za kuleta nawapiga chini...lol!!
kwa uzoefu wangu demu mgumu kwako anaweza kuwa maharage ya Mbeya kwa wengine.... Hawa namba mbili wakati mwingine unaweza kudhani ni mgumu kumbe wewe amekuweka pending, yeye anamzimia jamaa mwingine. sasa ikishindikana huko kwingine ndiyo anakukubali wewe, na wewe kwa kutojua unajipa moyo kuwa huyu demu ni mgumu na ndiye ananifaa. Kumbe you were her plan B........
I prefer:
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari
kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni,
kuchezewa au kuolewa.
Hakuna hata mmoja aliyenikubali mpaka sasa wa type hiyo no 2. Ila naendelea kufatilia nikiwa naamini kuwa one day yes.
Yamekuwa hayo tena!
Hutaki??
Nimo wapi?
Jinsia mbili ndo nini?
Mbona unadandia basi kwa mbele/
Kama kuna kitu hukijui si unauliza?
Utakuja kudandia na mipini![/QUOTE]
Mmmhh!!!!!
Nakusanya wanajumuia,jiandae kwa huduma leo
Imenistua tu!
Mje mdandie mpini?Mmmhh!!!!!
Nakusanya wanajumuia,jiandae kwa huduma leo
wewe ndo umeconclude mada yote.
mimi nikimpenda jamaa hata kumwambia sioni shida na nikitongozwa ni hapo hapo tu( mbeya beans)
kama sijakupenda na wala sinjakutamani, sitakwambia moja kwa moja kwamba sikutaki, bali nitakuweka tu just incase kule kwa yule nimpendae pakiharibika ndo nitakuja kujipooza kwako.(ninaweza kukuweka hata miaka kadhaa kama utakuwa kinganganizi)
na pia naweza kukubali after umenihangaikia kwa long time just out of pity tun na nikaendelea kugegedwa na nimpendae tena kwa kumtongoza mwenyewe.
wanaume inabidi muwe makini jamani, haya mapenzi yamebadilika sana.
mie ningekua mwanaume, ningechukua Mbeya beans halafu nikasonga nae kwa machale hadi nitakapojiridhisha, mara nyingi mwanamke akikubali fasta anakua amekupenda kiukweli( unless ni malaya by profession.)
ni mtazamo tu
Kwa uzoefu kidogo nilionao, mwanamke akiniwekea mapozi au kujivuta kunikubalia huwa naachana naye for Good. Na asilimia kubwa wakishaona umekaa kimya huwa wanajileta wenyewe, "Oohh, mbona siku hizi umenichunia?"
Ulikuwa hutegemei kupigwa chini eeeehhh
Habari ndio hiyo!!