Kwa Wanaume Tu

Kwa Wanaume Tu

Hivi kuna watu wanawapenda wanawake kwa namna ya ugumu au wepesi wa tongozo???

Hivi wewe Pimbi una akili kweli? Wewe utakuwa ulifeli chekechea alafu hukuendelea tena umejifunza kusoma na kuandika Ukubwani. Hadi ukatongoza ni kwamba umeshapenda, sasa swali ni kuwa ukimtongoza huyo unayempenda unafurahia aki behave vipi?

Mazuzu mengine bwana kwahiyo wewe ulifikiri mi nasema Tongoza alafu ndiyo ujue kuwa unapenda au lah? Jitahidi kuficha Upumbavu wako mbele ya kadamnasi kaka.
 
Shem miye sioni connection atii...

Acha kutafuta sifa za kijinga mbele ya mademu wa mitandaoni kaka. Alafu warembo wenyewe unawaita shem. Wenzio wanajimegea kiulaini ww umekazana mbele ya Keyboard yako shem-shem-shem. Ebo, siku nyingine usipindishe mada ya thread za watu kafungue ya kwako.

Mi ninauhakika ww darasani umejitahidi sana ulikuwa unakuwa wa pili kutoka mwisho huku wa mwisho akiwa hakufanya mtihani. Soma mada kwa umakini next time. Umburula kwenye thread za watu hautakiwi.
 
Hasira zote za nini mtoto wa kiume, sema kama unataka dafu uchokolewe, muwa ukatiwe, koni uilambe au samvu la kopo upakuliwe???!!!


Acha kutafuta sifa za kijinga mbele ya mademu wa mitandaoni kaka. Alafu warembo wenyewe unawaita shem. Wenzio wanajimegea kiulaini ww umekazana mbele ya Keyboard yako shem-shem-shem. Ebo, siku nyingine usipindishe mada ya thread za watu kafungue ya kwako.

Mi ninauhakika ww darasani umejitahidi sana ulikuwa unakuwa wa pili kutoka mwisho huku wa mwisho akiwa hakufanya mtihani. Soma mada kwa umakini next time. Umburula kwenye thread za watu hautakiwi.
 
Unakaa nyagwa Maskni Wa Akili??

Hivi wewe Pimbi una akili kweli? Wewe utakuwa ulifeli chekechea alafu hukuendelea tena umejifunza kusoma na kuandika Ukubwani. Hadi ukatongoza ni kwamba umeshapenda, sasa swali ni kuwa ukimtongoza huyo unayempenda unafurahia aki behave vipi?

Mazuzu mengine bwana kwahiyo wewe ulifikiri mi nasema Tongoza alafu ndiyo ujue kuwa unapenda au lah? Jitahidi kuficha Upumbavu wako mbele ya kadamnasi kaka.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha nyie wawili, Mhhhhh nasikia harufu ya ban
 

Wanasema Never argue with a FOOL, people might not know the difference.
Ila unaanza kujifunza watu8 naona this time haujawaita hao mashemeji zako wa mitandaoni mje mnichangie. Pongezi sana umeanza kujifunza.

Ukiendelea hivyo utajifunza na busara.
 
Last edited by a moderator:
Acha kutafuta sifa za kijinga mbele ya mademu wa mitandaoni kaka. Alafu warembo wenyewe unawaita shem. Wenzio wanajimegea kiulaini ww umekazana mbele ya Keyboard yako shem-shem-shem. Ebo, siku nyingine usipindishe mada ya thread za watu kafungue ya kwako.

Mi ninauhakika ww darasani umejitahidi sana ulikuwa unakuwa wa pili kutoka mwisho huku wa mwisho akiwa hakufanya mtihani. Soma mada kwa umakini next time. Umburula kwenye thread za watu hautakiwi.

Mmmmm mbona umemjibu kama mnafahamiana siku nyingi au mna bifu! Sioni sababu ya majibu makali hivi Mkuu!
Bila shaka mnamgombea Heaven on Earth hahaaaa.....
 
Wa uswazi tuna nini mkuu????!!!!!
Unapoishia uhuru wako ndio unaanzia wa mwingine mkuu! !!!!!!


Acha masuala ya ku judge watu kwa maeneo yetu!!!!!!

Samahani kama nimekukwaza kaka ila jamaa tu kanitibua kimtindo si unajua.
 
1 na 2, hiyo itakupima ww dume kujiita mwanaume na sio domo zege, kumbuka fid q alivo seme "usinikubali haraka haraka"
 
yule ambaye ukimpa zawadi hatukani kam gari nyumba nk , kwani akitukana na kujishaua fursa yake amepoteza
 
Back
Top Bottom