Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mmmmh....!
usigune ndio hali halisi.
Mmmmh....!
Hivi kuna watu wanawapenda wanawake kwa namna ya ugumu au wepesi wa tongozo???
kwnye nyekundu umeshatagaza ndoa kwa wadada wangapi mpaka sasa?
Kwelieeehhhhh!!!!!
Basi mimi nitawapa huduma nyie tu!
wa pesa
bora unisaidie kushangaa! ugumu na wepesi unahuuu shem???
hamchoki kutusema?
Uamuzi wa busara
Muda wa kumfuatilia mwanamke 3months uko wapi? Nimemhangaikia sn Ni two weeks basi.