Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Hivi kuna watu wanawapenda wanawake kwa namna ya ugumu au wepesi wa tongozo???
bora unisaidie kushangaa! ugumu na wepesi unahuuu shem???
Hivi kuna watu wanawapenda wanawake kwa namna ya ugumu au wepesi wa tongozo???
Alafu ww huku umeingiaje? Next time ntaandika title kwa herufi kubwa.
Maskini wa nini??
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?
1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au mpaka uje kwa wazazi?
4) Anakubali lakini No sex mpaka tuoane?
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni, kuchezewa au kuolewa.
Mimi binafsi napendelea sana No 2. Unajua mwanamke akinipa tabu sana siku ya kuja kumpata ntamthamini zaidi na ndio atakuwa mwepesi kwa mimi kutangaza ndoa kwake.
Wa aina hii ananipa matumaini ndani ya moyo kwamba anayejaribu kumchukua kwangu naye itabidi apitie tabu niliyopitia mimi.
bora unisaidie kushangaa! ugumu na wepesi unahuuu shem???
Shem miye sioni connection atii...
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?
1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au mpaka uje kwa wazazi?
4) Anakubali lakini No sex mpaka tuoane?
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni, kuchezewa au kuolewa.
Mimi binafsi napendelea sana No 2. Unajua mwanamke akinipa tabu sana siku ya kuja kumpata ntamthamini zaidi na ndio atakuwa mwepesi kwa mimi kutangaza ndoa kwake.
Wa aina hii ananipa matumaini ndani ya moyo kwamba anayejaribu kumchukua kwangu naye itabidi apitie tabu niliyopitia mimi.
nyie mabikra mnatongozwa tu.Wengine sisi ni mabikra hatujawahi kutongoza ....lol!
Waiii!!! mi Hamna hata mmoja apo!!
kwa hiyo vyovyote itakavyokuwa au siyo
yule ambaye akishaona walet, gari na nyumba ulojenga ndo anakupa papuchi
Leo nitajua.....