Kwa Wanaume Tu

Kwa Wanaume Tu

Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?

1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au mpaka uje kwa wazazi?
4) Anakubali lakini No sex mpaka tuoane?
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni, kuchezewa au kuolewa.

Mimi binafsi napendelea sana No 2. Unajua mwanamke akinipa tabu sana siku ya kuja kumpata ntamthamini zaidi na ndio atakuwa mwepesi kwa mimi kutangaza ndoa kwake.
Wa aina hii ananipa matumaini ndani ya moyo kwamba anayejaribu kumchukua kwangu naye itabidi apitie tabu niliyopitia mimi.

Namba 4 lakini pia mkapime
 
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?

1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au mpaka uje kwa wazazi?
4) Anakubali lakini No sex mpaka tuoane?
5) Maharage ya Mbeya Ukigusa tu yupo tayari kwa lolote iwe kufanywa kimada wa pembeni, kuchezewa au kuolewa.

Mimi binafsi napendelea sana No 2. Unajua mwanamke akinipa tabu sana siku ya kuja kumpata ntamthamini zaidi na ndio atakuwa mwepesi kwa mimi kutangaza ndoa kwake.
Wa aina hii ananipa matumaini ndani ya moyo kwamba anayejaribu kumchukua kwangu naye itabidi apitie tabu niliyopitia mimi.

What if aliweka ugumu kwako kwa sababu tu hakukuelewa we ukadhani ataweka ugumu huo huo kwa mwingine kumbe huwa anampenda huyo mtu siku nyingi so siku atapomtongoza kwake yeye itakuwa dream come true na akakubali fasta!
 
Maharage ya mbeya ndo mpango mzima hakuna usumbufu,mnamalizana kila mtu na hamsini zake,no streas at all
 
....ngoja leo niwe MSOMAJI TU bila kukomenti ili nikawafunze wadogo zangu na wanangu waweje pale wanapotongozwa....lol...
 
No 2 ndo mpango mzima
No 5 ni mwanamke wa ovyo sana nionavyo mimi, Anatufanya wanaume tuwe wazinzi kila kukicha. Hana maana hata chembe. Yaani mimi hata nimpende vipi mwanamke akiwa maharage hamu yote inaniisha. Alafu baadae anakuja eti kanichafua na kuniacha.

Mtoa mada ulifaa uitwe TAJIRI WA AKILI.
 
mimi hata sijui nampenda nani kati ya hao hapo juu, wengine tunaoteshwa umfate yupi
 
Back
Top Bottom