Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

kwa hiyo wewe hujawahi kusema hivyo? kwa sababu unakuta mtu kabisa anamkosesha dada amani kisa kamla jamani

Ni upumbavu sana kujisifia jambo kama hilo ila sasahv watu wengi wamesoma ukijisifia kitu kama hicho mbele yao,unajidhalilisha mwnyw na kuonekana hamnazo!!!
 
Mie mbona huwa najisifia sana tu, mhh tena mno, sana tu. Yaani wewe Mnyamwezi mie wacha, navyojisifia hadi utakaa mkao wa Pilau kama siyo wali wa NSANSA aka RASTA, mboga yetu ileee.....

Yaani ukitaka kujua navyosifia, sikiliza huu wimbo hadi 0:44, Mhhh Ahhh Ehhhh Inhhh .....



Nikishatoka faragha, wee niulize ilikuwaje.........

Ntakurushia tusi hadi UKOMAE kwa kukomeshwa 🙁 KOMA weee, ny*k* yako, kama Mama yake Wema Sepetu vile.
 
Last edited by a moderator:
Hapana. Ujuwe yeye ndiyo ameFanywa...... Kafungwa Kanga na mwisho anahema kama Farasi wa Mashindano.
ukiona mtu anajisifu kwa kumfanya mwanamke ujue huyo mwaume amuitaji huyo mwanamke
 
Mara nyingi ni hulka ya mtu tu kwani wapo wengne wanaweza hata kujitangaza kijiwe kuwa ametzmbea na fulani kumbe wala bali ni misifa wanaboa hawa watu
 
Mwanamme au Mwanamke wa maana hutomsikia akisema hayo.

Ukiona mwanamme anaejamba mbele ya mwanamke ujuwe huyo hana siri.

Ha.ha ha kwa hiyo ata tumbo likiuma asijambe ? penda hiyo sentensi
 
unajua kutongoza na kugonga ni kama mawindo so lazima mwindaji ufurahie mawindo y :whoo: :whoo:





ako
 
Kesho ukianza kuharisha watu wanaanza ky detect mapema kuwa una ngwengwe.Unaweza ukatangaza hivyo ukapata na kaushuhuda hapo kuwa ananeza ARV.hayo yameshapitwa na wakati bwana cku hizi watu hawaoni kuwa ni fahari kugegedana hadi kutamba.POOR THEM!
 
miss chaga usitegemee majibu sahihi ya swali lako hapa kila mtu atajifanya yeye atangazagi kwa masela

nikuhakikishie ni vigumu kidume kumgonga demu alafu asiseme kabisa ni VIGUMU mno

Ha haaa kula like mkuu...
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa

Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.

Kuna jambo nimewaza!

Unajua, inategemea na title ya Mtu, mahala na wakati, title kwa Maana ya Mke, Girlfriend, Demu, Mchepuko, n.k,

Mke hatangazwi, maana hiyo ni Obvious, ukiwa na Mke lazima ule mzigo, wanaotangazwa sana ni "Mademu" zetu, kwa maana ya kuwa, kwa Mvulana kuongozana tuu na mdada mzuri haitoshi, washkaji lazima watakuuliza, vipi? Chupi Umemvua? Jibu likiwa hapana, You Loose, Credit, Jibu likiwa ndio, You Gain your Praise and Respect kwa Wanaume wenzako. Soo inawezekana, nikajibu kwa Rafiki yangu kuwa Yule ni demu wangu, na nakula Tunda daily. Hii kwa upande mmoja ni kujisifia, na kwa Upande mwingine ni For security Purposes.

Mtu hutangaza kutembea na binti ili kupunguza ushindani, lakin pia, inawezekana nilimwambia mtu mmoja, yy akaenda kusema kwa wengine, nikaonekana nimetangaza.

And Again, Unaweza kusema umetembea na mwanamke, ilihali si kweli, ili upate hadithi zake, very unfortunate, Tabia za wanawake wengi huwa siri mpaka siku ukilala nae, sasa ku avoid late majuto baadae, mwingine huamua kusema, ili kama kuna aliemla na ni Mgonjwa wa ule Ugonjwa wetu, au kama pia kuna mwingine au wengine, basi nao utawajua, maana nao watasema, hata mm nishapita pale, hapo utacompare na ule uwongo uloambiwa kuw a mtaani ndio ww tuu umekubaliwa.

Ha ha ha ha haaaa. Mapenzi sijui ni kitu gani.
 
Kwa ajili ya kuwakatisha tamaa washkaji wasimfukuzie, ila ukitoa stori kuhusu mambo mazuri ya mpenzi wako lazima watu wakuibie
 
nimanhood tu, wala sio ujinga au ufala..mwanaume ameumbwa dominant na ndio character ya kiume...ndio maanamwanaume ndio humfuata mwanamke atongoze.....so ts all about man xcter traits
 
Kuna jambo nimewaza!

Unajua, inategemea na title ya Mtu, mahala na wakati, title kwa Maana ya Mke, Girlfriend, Demu, Mchepuko, n.k,

Mke hatangazwi, maana hiyo ni Obvious, ukiwa na Mke lazima ule mzigo, wanaotangazwa sana ni "Mademu" zetu, kwa maana ya kuwa, kwa Mvulana kuongozana tuu na mdada mzuri haitoshi, washkaji lazima watakuuliza, vipi? Chupi Umemvua? Jibu likiwa hapana, You Loose, Credit, Jibu likiwa ndio, You Gain your Praise and Respect kwa Wanaume wenzako. Soo inawezekana, nikajibu kwa Rafiki yangu kuwa Yule ni demu wangu, na nakula Tunda daily. Hii kwa upande mmoja ni kujisifia, na kwa Upande mwingine ni For security Purposes.

Mtu hutangaza kutembea na binti ili kupunguza ushindani, lakin pia, inawezekana nilimwambia mtu mmoja, yy akaenda kusema kwa wengine, nikaonekana nimetangaza.

And Again, Unaweza kusema umetembea na mwanamke, ilihali si kweli, ili upate hadithi zake, very unfortunate, Tabia za wanawake wengi huwa siri mpaka siku ukilala nae, sasa ku avoid late majuto baadae, mwingine huamua kusema, ili kama kuna aliemla na ni Mgonjwa wa ule Ugonjwa wetu, au kama pia kuna mwingine au wengine, basi nao utawajua, maana nao watasema, hata mm nishapita pale, hapo utacompare na ule uwongo uloambiwa kuw a mtaani ndio ww tuu umekubaliwa.

Ha ha ha ha haaaa. Mapenzi sijui ni kitu gani.


Umejibu vizuri sana mkuu labda niongezee kitu kimoja
Girl ukiona ur man anasimulia mambo yako ya chumbani jua he dont care, no respect, hana mpango na ww!
 
Hawa watakua wa Dar......na wengi wao ni vivulana (havijakua kiakili)

"A Guy is a Boy by Birth, A Man by Age, BUT a Gentleman by Choice"
 
No kukosa kazi ya kufanya. Magu awapeleke vijijini wakalime ndimu
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa

Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Wapo wengine hutoa hd siri wanavyowafny wake zao huo ni uzumbukuku mtu uliezaa nae watt huwez kumuanika unajidhalilisha ww mwanamme me mwanaume w hvy namtafasiri tofaut nikimhusisha na vitendo vy kishoga.kuna jamaa yetu huwa anawapa hd washkaj chabo akiwa anagegeda wht the ***.
me kiukwel namheshim sn mke wng siwez kumsemea chchte ht kw wazaz hd nione kwmb imeshindikana me kumrekebisha.
Miss chaga endelea kuwachana hawa huenda wanaosoma watajirkebisha kabla hawajaw addicted
 
Back
Top Bottom