Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

....aaaah! nitaachaje kumsimulia kamanda wangu? maana na yeye huwa lazima atanisimulia endapo atakuwa amemgonga dem mkali
 
Ni ili kujionesha kidume na kupata sifa kuwa umemlala dem mkali aliyewazingua wengi.
 
Ni moja ya tabia za wavulana na wakati mwingine yaweza komaa hasa akija kujua papuchi ukubwani. Hakuna mwanaume ambaye hajawai pitia hii tabia ila umri unavyosogea huanza kuacha.
I second you Mshawa, nafikiri ni tabia ya mpito wa ujanani.....papuchi ilivyokua tamu ukianza kuijua lazima usimulie tu..hamna jinsi. mwanaume akisema hajawi nafikiri atakua na tatizo.
 
miss chagga ukiona mtu anakutangaza publicly ujue ni mvulana huyo na si mstaarabu. Mwanaume anayejitambua hatasema hadharani..atabaki nayo moyoni mwake. Girls..dont date hivi vivulana. Wapo wanaume wanaojitambua..akiona humfai atasepa kistaarabu. Vivulana vitakuja kukuanika hapa jf
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Well, ni uwelewa mdogo tu wa maswala ya kimapenzi.....! Ila sote tuelewe mambo haya ya kisaikoloji chini;
  1. Kuwa mwanaume; by the time anaanza kumtongoza mwanamke na kumpata, ataendelea kujisikia vema kadri namba ya wanawake aliowapata inavyoongezeka hadi pale atakapojua kuwa sio ufahari ambapo ataanza kutulia na kupunguza speed ya kutongoza na hata mara nyingine kujutia aliyokuwa akiyafanya....!
  2. Wakati kwa wanawake; by the time anaanza kudakwa, atajisikia aibu kubwa sana...! Ataendelea kuumia hivyo kadri anavyozidi kucheza rafu hasa kwa wanaume tofauti, hadi pale atakapojisikia na kujidanganya aliumbwa hivyo kwa ajili hiyo, ambapo aibu itamwisha na hata mara nyingine kufikia ujasiri wa kutojali hata maadili na afya yake....!

NB:
  • Mchezo wa mapenzi ni moja ya hatua ambazo lazima kila mtu azipitie katika maisha yake, ila kwa namna tofauti, na katika mazingira na umri tofauti.....!
  • Ukomavu katika mapenzi si lazima uendane na umri, bali mara nyingine huendana na mazingira, tamaduni za jamii husika, nk.
Ni sawa na mtu anapojisifia kunywa pombe nyingi, kukimbia speed kali barabarani, kupigana, nk. Vitu ambavyo ukijaribu kutafakari nothing he/she gain, than loosing....!
Hope utanielewa....!
 
Nilikua na ako kamchezo nimekoma aise...
Yalinitokea one day najisifia kua pale nimepiga nilichoambiwa sikutegemea kwa evidence kabisaa kumbe demu kashamalza Kitaa afu more ova kama watu wasema sijui Ana ngoma mbona anagawa sna nilichokaaa naO nipo kimya Sanaa afu nimegundua ni bora ujisifie bf ujamla kuliko usha mla lalaaa utajutaa
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
MY DIA CHAGGA kazi unayo mh!
 
Miss Chaga nikusaidie dada yangu, watu wa hivi ni rahisi kuwajua. Ni wale wanakuhadithia hata vitu tofauti na unavyotegemea kutokana na mwonekano wake…
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa

Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Uboya tu
 
k
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
kwa mtazamo wangu mwanaume huona sifa kuwa amedoo na mwanamke fulani,vilevile huona fahari idadi yao inapokuwa kubwa na ndio maana baadhi ya wanaume huweka watu waliowahi kuwa na mahusiano nao hadharani bila shida,tofauti kabisa na mwanamke, hata siku moja hawezi taja orodha ya wanaume aliotembea nao na ikilazimu atajitahidi sana kuipunguza au kudanganya,
ni mtazamo binafsi
 
hii ni hulka tu ya asili kwa wanaume na binadamu kwa ujumla, mara nyingi wanaume tunapenda sana kuonekana mabingwa kwa kila jambo tunalofanya esp tunapokuwa kwenye mijumuhiko ya rika moja..
ndio maana wanaume wote wanajisifia kwamba kwenye minjunjano wako vizuri kuliko wengine hii ni sawa na wanawake kuwa waongeaji sana na maneno mengi kuliko wanaume

nafikiri jibu la swali lako ni kuonyesha ushindi na ufahali tu.period
 
k

kwa mtazamo wangu mwanaume huona sifa kuwa amedoo na mwanamke fulani,vilevile huona fahari idadi yao inapokuwa kubwa na ndio maana baadhi ya wanaume huweka watu waliowahi kuwa na mahusiano nao hadharani bila shida,tofauti kabisa na mwanamke, hata siku moja hawezi taja orodha ya wanaume aliotembea nao na ikilazimu atajitahidi sana kuipunguza au kudanganya,
ni mtazamo binafsi
sawa mkuu
 
Nilikua na ako kamchezo nimekoma aise...
Yalinitokea one day najisifia kua pale nimepiga nilichoambiwa sikutegemea kwa evidence kabisaa kumbe demu kashamalza Kitaa afu more ova kama watu wasema sijui Ana ngoma mbona anagawa sna nilichokaaa naO nipo kimya Sanaa afu nimegundua ni bora ujisifie bf ujamla kuliko usha mla lalaaa utajutaa
ukome
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Hapanshaka unawazungumzia wavulana.....Wanaume hatuko humo.
 
Back
Top Bottom