Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kama anaringa acha atangazwe tu ili atolewe umaarufu
 
Hivi kile kitabu cha 'alfu lela ulela'
ndo hiko hiko 'one thusand and one night?

Naam, lakini kile cha Kiswahili kimepunguzwa sana. Ukisoma cha Kingereza lakini uipate tafsiri ya Richard Burton kina mengi zaidi. La kama unaelewa Kiarabu ukipate chenyewe Alf Leila u Lela kwa Kiarabu ndiyo utapata haswa undani wa zile hadithi.
 
Naam, lakini kile cha Kiswahili kimepunguzwa sana. Ukisoma cha Kingereza lakini uipate tafsiri ya Richard Burton kina mengi zaidi. La kama unaelewa Kiarabu ukipate chenyewe Alf Leila u Lela kwa Kiarabu ndiyo utapata haswa undani wa zile hadithi.

cha kiarabu kinaitwaje muandishi nani?
 
Naam, lakini kile cha Kiswahili kimepunguzwa sana. Ukisoma cha Kingereza lakini uipate tafsiri ya Richard Burton kina mengi zaidi. La kama unaelewa Kiarabu ukipate chenyewe Alf Leila u Lela kwa Kiarabu ndiyo utapata haswa undani wa zile hadithi.
Hii Thread Wanawake wanatakiwa Kusoma tu.... Sikuhizi sikusikii ukimsifia Kikwete na Kumponda Nyerere
 
Kama ulikuwa unajufanya classic kwanini Malaya mwezako asikutangaze akifanikiwa kukula?
 
Mambo rafiki

Kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • Ni ufahari/ushindi?
  • Starehe?
  • Unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
Kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu, huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi.

Wanaume fungukeni tupate kuelewa.
Kuna watu wa aina hizi
1. Malimbukeni ambao kwao kumfanya mwanamke ni sifa na hasa kama demu mwenyewe bomba.
2. Kuna wale wanawake huwa wanajifia kwamba eneo fulani sioni mwanaume wa kunifanya.. Sasa kwenye mazingira hayo ndo atatoka mtu ambaye amemfanya naye atasema...mi nishagonga hapo..
 
Ni ufahari lakini unaoletwa na ujinga. Hata hivyo utagundua mwanaume hawezi kuyaongea hayo kama mwanamke aliyefanya naye mapenzi ni mke wake au ana mpango awe mke wake wa ndoa. Kwa hiyo utagundua pia ni aina fulani ya dharau au udhalilishaji ambao ni dalili tosha kuwa huyo mwanaume hana future na wewe.

Si rahisi kumkuta mwanaume anayaongea ya faraghani yanayomhusu mkewe au mchumba wake wa dhati kwa wanaume wenzake maana ni hitaji/hamu ya kila mwanaume kuona mke/mchumba wake wa dhati anaheshimika na rafiki zake.
 
Kick jamani......mfano

Miss chaga yule aahhh Mi teyari nishamla.
 
That underlines the difference between dating a boy and a man.
 
Hilo ni tatizo la pande zote. Hata wanawake hujisifu wameto.mbwa na fulani ...
 
miss chaga usitegemee majibu sahihi ya swali lako hapa kila mtu atajifanya yeye atangazagi kwa masela

nikuhakikishie ni vigumu kidume kumgonga demu alafu asiseme kabisa ni VIGUMU mno
unaonekana we ndo zako ukikojolea mtoto tu jioni kijiweni matangazo. ngoja dushe lianze kukuwasha halafu na mijipu ianze polepolee.. sijui na lenyewe utatangaza!!
..NAPITA TU.
 
Back
Top Bottom