nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Kama hamtaki tuwaseme punguza foleni na sisi tunaumia baada ya kutuacha kwenye mataa mnatutangazia ati tuna vibamia na hatujui kuzama kama wapya mnaowapatani sawa lakini pia mkuu muache tabia ya kuwasema vibaya na kutunyima raha... mkikosea lazima tuseme