BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
Kulia nako raha
Nimeshauri hivi kwa kua kila siku naona malalamiko ya vijana kuumizwa na kuachwa na wanawake wao.Ushauri wako umekuja baada ya kufikilia kwa kutumia kile kichwa kidogo kinachokaa katikati ya mwili...
Na hiyo ni mbaya sana,Chukua muda zaidi kabla ya kushauri kuliko kujishauri
Hata uyo mwenza wako nae atalifanyia kazi iloNitaufanyia kazi huu ushauri maana nimechoka kulia
Hhhaa unapunguza lita za maji mwilini hhaaaKulia nako raha
Kuna yule dogo wa kike anajiita my name is my name alisema wanaume wa tanzania wanakufa upesi kwa vile hawalii wakipata matatazo.Kulia nako raha
hahahaa, safiYaani ushauri wako umekuja wakati muafaka,maana kutatusaidia kutokutorokea Eritrea na kuendelea kupiga show za ndani zenye manufaa kwa viwanja tofauti tofauti
Ukiwa nao wengi utahitaji more time and more money