Kwa wanaume tu: Kukumbushana

Kwa wanaume tu: Kukumbushana

kupenda ni sanaa tamu sana,ukiimudu hiyo sanaa.Kujuta au kujilaumu utasikia kwa wengine!!
 
ushauri mzuri lakin je kuwa na wengi hii si itakujakuwa kama yule jamaa aliyejuta kwenda Tanga?
 
Mimi na kazi moja tu ya kutafuta hela...ili niweze kuwapa good times watoto wangu wawili...huyo mama yao hata leo hii aende mm wala sijali.
Na vijana wengi tunaelekea kuchukua maamuzi kama hayo yako,siku hizi watu wanathamini tu mtoto/watoto wao na sio wanawake/wake zao,kwasababu hawaaaminiki hao ndio maana.
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.


Dear are you sure hilo neno la Mungu ulivyolitafsiri ni Sawa.. Please check the bible again , read well andthen tujie na maana Kamilifu ya hilo Neno, otherwise usichanganye neno la Mungu na vitu vya miungu mingine, Amen.. Be blessed . Thanks..
 
Hata mume sio Baba pia
Hata huyo baba wapo waliobahatika wakawa na mababa zaidi ya mmoja kwani tumekua tukisikia kuwa mtoto yule ni wa fulani ndie aliweja ujauzito ila akamkataa akaamua kumtaja fulani akamkubali ndio aliemlea na kumsimesha au utasikia fulani alichepuka kipindi mumewe akiwa safarini aliporudi akakuta mkewe mjamzito wazee wakamshauli kwa kumwambia kitanda hakizai haramu na mfano wa hayo
 
Nashangaaga binadamu wanapohalalisha mambo kisa wanyama wengine wanafanya. Akili zao kama hao hao kuku na mbuzi
Lakini ukweli lazima usemwe, mwanamke mmoja kwa mwanaume hatoshi lakini pia male gender yoyote ni fahari kumiliki wanawake wengi, this is obvious and scientifically proven kwamba male gender ya aina yoyote kumiliki wanawake wengi ni fahari kwako.
 
Lakini ukweli lazima usemwe, mwanamke mmoja kwa mwanaume hatoshi lakini pia male gender yoyote ni fahari kumiliki wanawake wengi, this is obvious and scientifically proven kwamba male gender ya aina yoyote kumiliki wanawake wengi ni fahari kwako.
Sijui ni science gani huthibitisha "ufahari".

It is also scientific proven that binadamu sio monogamous in nature. Hata wanawake hutamani wanaume wengine pia.

Kwahiyo usilazimishe kuwa mwanaume pekee ndo anahitaji wengi. Mfumo dume.

Mwisho wa siku sisi ni binadamu, tuna uwezo wa kuReason kama kitu ni sawa au hapana, na tunaweza kuthibiti tamaa za asili
 
Sijui ni science gani huthibitisha "ufahari".

It is also scientific proven that binadamu sio monogamous in nature. Hata wanawake hutamani wanaume wengine pia.

Kwahiyo usilazimishe kuwa mwanaume pekee ndo anahitaji wengi. Mfumo dume.

Mwisho wa siku sisi ni binadamu, tuna uwezo wa kuReason kama kitu ni sawa au hapana, na tunaweza kuthibiti tamaa za asili

Ni kweli binadamu sio monogamous in nature lakini mahitaji ya ngono ya mwanamke na mwanaume hayako sawa, ukishajua hilo ndio utajua n kwa nini wanaume au jinsia ya kiume yoyote inahotaji kumiliki idadi kubwa ya wanawake.

Binadamu wote ni sawa ila hawako sawa katika mahitaji ya kimwili.
 
Ni kweli binadamu sio monogamous in nature lakini mahitaji ya ngono ya mwanamke na mwanaume hayako sawa, ukishajua hilo ndio utajua n kwa nini wanaume au jinsia ya kiume yoyote inahotaji kumiliki idadi kubwa ya wanawake.

Binadamu wote ni sawa ila hawako sawa katika mahitaji ya kimwili.
[
Kama ni kukidhi mahitaji kama yanavyokuja,
Hata wanawake wana mahitaji. Akiona mumewe hamuelewi au akihisi mapenzi kwa mwingine anaweza kwenda kujiliwaza.

Kama vipi mkubaliane kuwa in an open relationship, yeyote akijihitaji atoke.
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.
Mjumbe wa shetani at work
 
[
Kama ni kukidhi mahitaji kama yanavyokuja,
Hata wanawake wana mahitaji. Akiona mumewe hamuelewi au akihisi mapenzi kwa mwingine anaweza kwenda kujiliwaza.

Kama vipi mkubaliane kuwa in an open relationship, yeyote akijihitaji atoke.
upo tayari mimi nigonge nje
 
[
Kama ni kukidhi mahitaji kama yanavyokuja,
Hata wanawake wana mahitaji. Akiona mumewe hamuelewi au akihisi mapenzi kwa mwingine anaweza kwenda kujiliwaza.

Kama vipi mkubaliane kuwa in an open relationship, yeyote akijihitaji atoke.
upo tayari mimi nigonge nje
 
Back
Top Bottom