Kwa wanaume tu: Kukumbushana

Kwa wanaume tu: Kukumbushana

Mtu ad kuja hum mtandaoni it means hujiamin.... Thats over kabisaaaaaa
 
Hiii khabari mbona km ina kaukweli ndani yake .......kulia kama punda,,,,,,...kha!!ni bora kujiongeza
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.

Empty mind is a devils workshop...
Ur satan agent either by know or not know it
 
Siko Tayari kuletewa magonjwa. Kuna virusi vya HPV havizuiliwi na mipira.

Uko tayari nikaonje nje?
siko tayari kuletewa magonjwa.
piah nakuamini we ni mwaminifu kwangu
 
my woman my everything,,.no matter what...ni mmoja tu na atabaki kuwa yeye peke ake
 
Ni kweli binadamu sio monogamous in nature lakini mahitaji ya ngono ya mwanamke na mwanaume hayako sawa, ukishajua hilo ndio utajua n kwa nini wanaume au jinsia ya kiume yoyote inahotaji kumiliki idadi kubwa ya wanawake.

Binadamu wote ni sawa ila hawako sawa katika mahitaji ya kimwili.
Huu ndio ukweli wanawake wasiotaka kuukubali au kuusikia
 
This is just a reminder.

Kumekua na malalamiko ya kila siku ya wanaume wenzangu kuhusu kuumizwa na mapenzi na kuachwa licha ya wanawake kua wengi kuliko wanaume.

Nawakumbusha tu maana nilishawaambia humu mara kibao tu, kosa kubwa mnalofanya wanaume wenzangumnaoumizwa kila siku na wanawake ni kua na mpenzi mmoja.

Kuepuka maumuvu usiwe na mwanamke mmoja, mke sio mama yako, kua na wanawake wengi kadri uwezavyo, kung'ang'ania mke mmoja siku ukiachwa lazima ulie kama punda.

Mbinu pekee ya kuepuka kuumizwa ni kutokupenda mwanamke na kua nao wengi kadri uwezavyo.

Mimi nawakumbusha tu, mjumbe hauwawi, injili inasema peleka neno kwenye misuko suko, wakikataa nawa mikono uondoke, ukikataa huu ujumbe jiandae kulia.

Sharing is caring. Ni aibu mwanaume kulia umeumizwa.
WATUMIA HATA INJILI KUHALALISHA UFUSKA.USIFANYIE MZAHA NENO LA MUNGU.NI ONYO NA USHAURI .NUCTA.
 
Lakini ukweli lazima usemwe, mwanamke mmoja kwa mwanaume hatoshi lakini pia male gender yoyote ni fahari kumiliki wanawake wengi, this is obvious and scientifically proven kwamba male gender ya aina yoyote kumiliki wanawake wengi ni fahari kwako.
Imenibidi niwaze tu kuwa inamaana Mungu alikosea kumuumbia Adamu mke mmoja???! Yawezekana wakati Eve anarubuniwa na shetani yeye alikuwa akichepuka hukooo akimdeku tausi na kutamani angekuwa binadamu.
 
Back
Top Bottom