Kwa Wanaopenda Uchoraji

Kwa Wanaopenda Uchoraji

hongera sana mkulu, mimi ni mpenzi sana wa kuchora japokuwa nina muda mrefu bila kupractice nadhani tunaweza kukumbushana.
 
Samson Cyper ngoja nikitulia nitatuma picha nilizochora aseee hii sredi idumu
khs mzee ilikua kitambo sana miaka ya 90s uko nilipokua primary aligoma akifikir sio kazi za kitaalam/taaluma
 
Last edited by a moderator:
Samson Cyper ngoja nikitulia nitatuma picha nilizochora aseee hii sredi idumu
khs mzee ilikua kitambo sana miaka ya 90s uko nilipokua primary aligoma akifikir sio kazi za kitaalam/taaluma

Kama unapenda inatakiwa umuonyeshee kuwa hii moja ya kazi zinazoipa taifa Sifa na kuleta chakula mezani
 
Last edited by a moderator:
Picha moja tu kwa Leo.
 

Attachments

  • 1400155287169.jpg
    1400155287169.jpg
    86.3 KB · Views: 178
  • Thanks
Reactions: Aza
Unaweza otea huyu ni nani? BADO SIJAIKAMILISHA
 

Attachments

  • 1401343509838.jpg
    1401343509838.jpg
    54.8 KB · Views: 187
Am Done with SAM MISAGO
 

Attachments

  • 1401433936934.jpg
    1401433936934.jpg
    53.3 KB · Views: 131
Bado naichora hii Picha.
 

Attachments

  • 1401961568726.jpg
    1401961568726.jpg
    40.5 KB · Views: 114
Kama unajijua we ni Kali wa Kuchora. Nicheck inbox sasa hivi unapousoma huu ujumbe.
 
Mapunduzi na heshima ya Sanaa ya Uchoraji
 

Attachments

  • 1402310512043.jpg
    1402310512043.jpg
    47.9 KB · Views: 134
Back
Top Bottom