Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,138
- Thread starter
- #61
google helper niunganishe na uyo mtu pm pliz
yan napenda kuchoraaa wanyama vitu nk na yanifanya akili inatulia sana na furaha, baba tu ndo aligoma nilitaka sana nijiendeleze ktk uchoraji/paintings hasa
you are talented!...where are you based?...+254725850742.
Uko vizuri big up
you have talent but the big problem with our cotry no one care about it.baada ya ibada j.pili yangu imeishia hapa.
you have talent but the big problem with our cotry no one care about it.
hizii picha unaweza ukaanzisha office yako katika hotel kubwa hasusani zilizopo bichi
ukawa unauza zilozochorwa lakini pia unawachora watu na kuwauzia
mimi napenda kuchorwa ungekuwa uko karibu njngekuwa mteja wako
wazo zuri sana dada angu. Tatizo mi focus yangu imelenga kutoa vitabu vya watoto na vya story. Pia napenda kufanya cartoon animation. Kwahiyo itakuwa kwenye movie kama tom and jerry. Ila nitakuwa nafanya freelance kama hizi kidogo kidogo.
unaweza pia ukapeleka sample kwenye mahotel
kama uko moshi ni pm nikupe watu wa kampuni moja kubwa pale
kama upo dar NAOMBA UNICHORE NITAKUFANYIE PROMO KWENYE MAMBO YA UREMBO
Nipo Mwanza kaka. Ngoja niku PM tuongee vizuri.