Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,781
- 6,138
- Thread starter
- #21
unajitahidi sana mkuu ila kuna jamaa mmoja da huyo ni kiboko amenichora mpaka watu wamesema nimekuza picha yuko safi kiuchoraji ningekuunganisha nae ila upande wa mitandao kama JF au facebook
yuko nyuma sana mpaka kero.
Hilo ndo tatizo la Wachoraji wa Kibongo. Wanachukulia uchoraji ni kama hobby tu. Just like Mtu kawa bored ndo anachora.