Kwa Wanaopenda Uchoraji

Kwa Wanaopenda Uchoraji

Bob junior na mwanae
 

Attachments

  • 1403095486649.jpg
    1403095486649.jpg
    79.3 KB · Views: 271
Huyu ni nani kwa kutazama mchoro tu.
 

Attachments

  • 1417986269153.jpg
    1417986269153.jpg
    40.6 KB · Views: 237
jamani am also an artist .....nawaunga mkono all my fellows wanaokubali art....na wanao do art...nipo kwenye hili game sema nipo too quiet ....pilika za masomo zanisumbua....but big up saana to idris napenda his works...but inabidi..a advance kwenye colours cause they reveal the reality ...of any pic....am open kwa yoyote anaetaka ajue zaidi kuhusu mambo ya art .....but siwaacheni hvi hvi u can check out the pic i just did recently kwenye attachment hyoooo.......remember
''ALL CHILDREN ARE BORN ARTISTS BUT THE PROBLEM IS REMAINING AN ARTIST TILL AN ADULT.....'' by Pablo Picasso.
WP_20141130_007.jpg
 
jamani am also an artist .....nawaunga mkono all my fellows wanaokubali art....na wanao do art...nipo kwenye hili game sema nipo too quiet ....pilika za masomo zanisumbua....but big up saana to idris napenda his works...but inabidi..a advance kwenye colours cause they reveal the reality ...of any pic....am open kwa yoyote anaetaka ajue zaidi kuhusu mambo ya art .....but siwaacheni hvi hvi u can check out the pic i just did recently kwenye attachment hyoooo.......remember
''ALL CHILDREN ARE BORN ARTISTS BUT THE PROBLEM IS REMAINING AN ARTIST TILL AN ADULT.....'' by Pablo Picasso.
View attachment 210032

Kwanza hongera sana kwa kazi yako. Unajua sana kutumia rangi. Am little bit on it. Kuna baadhi ya picha nimeweka rangi ntaanza kuzipost muda si mrefu. Naamini Rangi zinaipa uhai picha ila hizi pencils drawing ni nzuri kama unajua shadding vyema.

Asante kwa advice yako. Naomba uwe karibu na hii post.
 
Ahhsante mkuu yanii haikupita lisaa nkairudia hii post ... Naomba tuchekiane kwa namba za simu labda watsapp Itakua powa zaidi tutashare ideas kwa ukaribu zaidi my no Ni hii hapa ....+91 810 516 3094 anytime am available don't hesitate pia naomba ur no. If possible
 
Ahhsante mkuu yanii haikupita lisaa nkairudia hii post ... Naomba tuchekiane kwa namba za simu labda watsapp Itakua powa zaidi tutashare ideas kwa ukaribu zaidi my no Ni hii hapa ....+91 810 516 3094 anytime am available don't hesitate pia naomba ur no. If possible[/
 
Oil Painting.
Mambo ya kuchanganya Blue na Njano unapata Kijani.
Am happy to do this.
 
Back
Top Bottom