Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Napenda tu kuwataarifu, sijabarikiwa na haya makitu yenu.

Naenda mlimani kukesha na kusali

Babu ni kinyamwezi tuu hiko tunaongea, hakuna mbaya heheheee.
 
Hii kauli sijaipenda... hasa ukizingatia nilikosa nafasi ya kufanya kolabo na Diamond kwenye kale kaSalome... Diamond ana roho mbaya, eti alinambia sauti yangu labda nimtafute Man Fongo niimbe singeli ya hakunaga ushemeji remix...

Hhahahahahahahahaaaa usijali babu mie nataka nije nitoe kolabo na wewe, halafu wajua babu mie nina imba kuanzia sauti ya 1, 2 hadi ya 3 hivo wewe utajazia besi tuu. Hapo hata akapela tunaimba watatukomajee hehehehee na nnavopenda kuimba Kasie mie naimba usiku kuca na sauti wala haikauki iko pale pale bila kuramba chumvi wala kula yai bichi utaburudikajeee.....
 
Nisamehe mzee si unajua tena mjomba kaja sema ujue nini lile gari linaenda na bado mbuzi hawajala mwambie mwalimu watoto wakitoka shule waache wale mafundi waje na radio na kesho pilot anaruka basi kijijini shida umeme yaani duka la mangi anauza spea za trekta na utumbo wa mbuzi

Daaah wewe mwana siasa nini hehehehehehehee maana si kwa sound hilii hahahahahhahahaaaa looh
 
Wamfuma mwikulu =nisamehe mjukuu
Mwikulu wangaluka mwana wa Ntemi=Nenda kwa mjukuu wangu Yamakagashi
Walolo mayo watolwa mwana wa ntemi = Ndio mikono salama ninayokuacha kabla sijafa

Sasa ushauri usipo ufanyia kazi shauri yako
Duh we Jamaa umetafsiri sivyo
 
Hhahahahahahhaaaa you know what.........

By the way you know it, unanifanya maruhani ya kuanza kuimba yashuke saa hii hehehehehehee

You'll always be a part of me
I'm part of you indefinitely
Boy don't you know you can't escape me
Ooh darling 'cause you'll always be my baby
And we'll linger on
Time can't erase a feeling this strong
No way you're never gonna shake me
Ooh darling 'cause you'll always be my baby

lets sing together please..... cheers
Hahahaha napenda tu ukiwa na furaha ,Napenda vile una smile na hiyo dental formula yako na hako ka mwanya ...

Will I laugh will I cry
Will I live Will I die
It all depends upon you

And it is dangerous, I know
to be lost in you so
But I'm that there's nothing I can do

Desperately, loving you desperately
When you are not here with me
I get a little bit crazy

Constantly, think about you constantly
Look at what you done to me
I'm just like a little baby
Oh! I love you desperately


Dah sijui last time nimemwambia lini manzi wangu hivi haya maisha haya
 
Babu weweee, huyo mtoto na laptop yake alivoipakata yaani I can see you.... hehehehheeeee
A hug from behind and a kiss by the side...
Enheeeee.... sasa uwage unasema taratibu. Watoto watasikia bhana...
 
Hhahahahahahahahaaaa usijali babu mie nataka nije nitoe kolabo na wewe, halafu wajua babu mie nina imba kuanzia sauti ya 1, 2 hadi ya 3 hivo wewe utajazia besi tuu. Hapo hata akapela tunaimba watatukomajee hehehehee na nnavopenda kuimba Kasie mie naimba usiku kuca na sauti wala haikauki iko pale pale bila kuramba chumvi wala kula yai bichi utaburudikajeee.....
Hehehehe... ngoja nikachukue tarumbeta la Masekela. Hapo kwenye besi usitie shaka... Barry White alishaniombaga nimuzime japo nusukilo ya besi langu...

BTW unaufahamu wimbo wa Barry White "practice what you preach?" Huo ntauwekea melody ya taarab ili umwimbee huyu @Yagamashika.... Naona ana maneno mengi kama Hadija Kopa wakati utendaji wake uko slow kama Dr. Shein.

Huyo ukimdeti na bahati mbaya ukapata ujauzito... utajifungua baada ya miezi 27. Yuko slow mpk kwenye kumbegusha.
 
Hhahahahahahhaaaa you know what.........

By the way you know it, unanifanya maruhani ya kuanza kuimba yashuke saa hii hehehehehehee

You'll always be a part of me
I'm part of you indefinitely
Boy don't you know you can't escape me
Ooh darling 'cause you'll always be my baby
And we'll linger on
Time can't erase a feeling this strong
No way you're never gonna shake me
Ooh darling 'cause you'll always be my baby

lets sing together please..... cheers
Wivu sina ila roho inauma...

Naenda kusema kwa mama...

Ila Mungu anakuona
 
Hehehehe... ngoja nikachukue tarumbeta la Masekela. Hapo kwenye besi usitie shaka... Barry White alishaniombaga nimuzime japo nusukilo ya besi langu...

BTW unaufahamu wimbo wa Barry White "practice what you preach?" Huo ntauwekea melody ya taarab ili umwimbee huyu @Yagamashika.... Naona ana maneno mengi kama Hadija Kopa wakati utendaji wake uko slow kama Dr. Shein.

Huyo ukimdeti na bahati mbaya ukapata ujauzito... utajifungua baada ya miezi 27. Yuko slow mpk kwenye kumbegusha.

Aaaahahahahahahahahahhaaaa uuuhuhuhuhuhuhuhuhuuuuuuuuu babuuuuuu mabvu zangu mie, daaah slowness yake ni kali kuzidi ya konokono mweeh hehehehehee.

Itabidi nifanye mpango wa kupata mlo wa mchana au kinywaji cha jioni cha kusubiria foleni tukae meza moja mie, wewe na @Yagamashika sijui unabariki huo mkutano, mie ntakuwa mchekaji mkuu, tabasabu kubwa na kinywaji kikishapanda basi nawapa burudani ya kuwaimbia kwa sauti nyororooo.

Najua tutafurahia sana wakati, ngoja niangalie venue ya makutano haya.
 
Wivu sina ila roho inauma...

Naenda kusema kwa mama...

Ila Mungu anakuona

Babuu you are the best, hapo tunanoa makoo kujiandaa na kolabo ambayo nawe umo, hiyo lunch gathering au evening drinks inasubiria baraka zako...zelaga bin mvinyo itakuwa compulsory hehee
 
Hehehehe... ngoja nikachukue tarumbeta la Masekela. Hapo kwenye besi usitie shaka... Barry White alishaniombaga nimuzime japo nusukilo ya besi langu...

BTW unaufahamu wimbo wa Barry White "practice what you preach?" Huo ntauwekea melody ya taarab ili umwimbee huyu @Yagamashika.... Naona ana maneno mengi kama Hadija Kopa wakati utendaji wake uko slow kama Dr. Shein.

Huyo ukimdeti na bahati mbaya ukapata ujauzito... utajifungua baada ya miezi 27. Yuko slow mpk kwenye kumbegusha.

Teh teh Babu una visa umeamua kugeuza jina langu wakati wa kuni mention ili nisione ?

Bora Khadija Kopa kuna kimasomaso cha Issa Matona

Wosia wangu kwa Kassie ....

Ijapakuwa na mwao sitaki mnitukane
Ninawaita wazazi waje hapa tuonane
Wanipe mkaja wangu zipatazo 800
Tumuweke mchangani mwali amsemezae aseme
Uinue uso juu mama wahisani wakuone
Uangaze kila pembe na wabaya uwaone
Anapokuja mumeo nyumbani hujambo muulizane
Umpokee mkoba mama kilio ndani ukione
Uthahadhari na shoga wasije wakunyang'anye
Leo umepata wako mahawara na wakome

Somo yake bi harusi hebu nitafutieni
Na kungwi lake harusi wote waje hapa uwanjani
Tuje tumfunze mwali malezi ya kizamani
Unapopelekwa kwako mama unapofika nyumbani ukacheke na mumeo mama umpumbaze chumbani ....

Wakaja mashoga zako sema nao dirishani ....
Ukaisikia hodi mama ushungi uwe kichwani
Huenda akawa mumeo usimkere moyoni
Kamwambie bwana pita kwa sauti ya huzuni
Umkandekande mabega mume kachoka kazini
Huku ukichekacheka na macho yawe laini ...

Eti aje hapa ...tuhangaike nae


Mimi nimemaliza na u slow wangu
 
Teh teh Babu una visa umeamua kugeuza jina langu wakati wa kuni mention ili nisione ?

Bora Khadija Kopa kuna kimasomaso cha Issa Matona

Wosia wangu kwa Kassie ....

Ijapakuwa na mwao sitaki mnitukane
Ninawaita wazazi waje hapa tuonane
Wanipe mkaja wangu zipatazo 800
Tumuweke mchangani mwali amsemezae aseme
Uinue uso juu mama wahisani wakuone
Uangaze kila pembe na wabaya uwaone
Anapokuja mumeo nyumbani hujambo muulizane
Umpokee mkoba mama kilio ndani ukione
Uthahadhari na shoga wasije wakunyang'anye
Leo umepata wako mahawara na wakome

Somo yake bi harusi hebu nitafutieni
Na kungwi lake harusi wote waje hapa uwanjani
Tuje tumfunze mwali malezi ya kizamani
Unapopelekwa kwako mama unapofika nyumbani ukacheke na mumeo mama umpumbaze chumbani ....

Wakaja mashoga zako sema nao dirishani ....
Ukaisikia hodi mama ushungi uwe kichwani
Huenda akawa mumeo usimkere moyoni
Kamwambie bwana pita kwa sauti ya huzuni
Umkandekande mabega mume kachoka kazini
Huku ukichekacheka na macho yawe laini ...

Eti aje hapa ...tuhangaike nae


Mimi nimemaliza na u slow wangu

Afu nimegundua hata mie nilikosea kuku mention bila kustuka looh hehehehehee polee

Naupenda huo wimbo halafu ukitoka huo unaingia wimbo wa njenje kisha namalizia na wimbo wa kinyau nyau....
 
Afu nimegundua hata mie nilikosea kuku mention bila kustuka looh hehehehehee polee

Naupenda huo wimbo halafu ukitoka huo unaingia wimbo wa njenje kisha namalizia na wimbo wa kinyau nyau....
Teh teh kama naanza kukujulia hivi

Njenje wimbo upi ?
Laambwa eeh
Laambwa lambwatita ..

Maharage yapo jikoni nimeshayapika ......


Au ndio ile
Mshazoea ....
Kusema sema ya watu ...
Yakwenu hamuyaoni ....

Au ndio ule

Vimulia jirani usije ntonesha kidonda ...
Daktari wangu yuwaja
Aje akitie dawa .......
 
Back
Top Bottom