Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,848
- 1,448
Mjibu mleta mada sasa! Vinginevyo wewe ni Mnyanyembe tu!Nipo mimi mnyamwez
Mjibu mleta mada sasa! Vinginevyo wewe ni Mnyanyembe tu!Nipo mimi mnyamwez
Teh teh kama naanza kukujulia hivi
Njenje wimbo upi ?
Laambwa eeh
Laambwa lambwatita ..
Maharage yapo jikoni nimeshayapika ......
Au ndio ile
Mshazoea ....
Kusema sema ya watu ...
Yakwenu hamuyaoni ....
Au ndio ule
Vimulia jirani usije ntonesha kidonda ...
Daktari wangu yuwaja
Aje akitie dawa .......
Hahahahahahahaaa looh mbona unakuwa mcharo mapema hivii. ... yaani ungekuwa jirani yangu ungeona jinsi nlivokuwa nacheza kwa ulivoimba kiduchuu tuu, ungeimba wimbo wote zote tatu hizo mbona ungemwaga wazungu ndani ya bodaboda??!! Hehehehehe asantee babaa wabhejaa.
Teh teh haikuwa kazi rahisi kupata hiyo nafasi ya kumwaga kwenye bodaboda ,i think i deserve it au ?
Maneno yako tu hapa nakuvutia picha wazungusha kiuno hicho haya taratibuuu ,mpaka chiniii...pole pole ai ayayaya katika mama katika
twende juu aiii zungusha mama .......
Hapa muwa upo Kodo sema sina pa kusimamia kama Kangaroo
Nasty Kassie
Teh teh Kassie ujue hapa nitageuka chizi bure eti na mimi nafanya kama vile nipo na wewe kwa vitendo na hivi you got an A.ss that swallows up a G string .....ayayayayayaUnisamehe Yamakagashi tuu maana nimeshindwa kuvumilia naomba nimalizie kuimba huku nacheza na hivi ni ijumaa heheheheheee heheeiyaaaa .....asiye na mwana na aeleke jiweeee. .....
Twende pamoja sasa...
Laambwa Laambwa ... laambwatika
Maharage yako jikoni nimeshayapika
Nangojea future ya bwana haijapikwa. ..
Vumilia jirani usije ntonesha kidondaa
Vumilia jirani usije ntonesha kidonda
Daktari yule yuwaja Daktari yule yuwaja
Atakitia dawa kidonda....
Kachiri Kachiri sagaaa
Mume wangu kasafiri sagaa
Kaniachia Kigoma sagaaa
Na mtindo wa hariri sagaaa
Kachiri sagaa usiogope
Kachiri sagaa usiogopee
Oooh lalalaaah wapi nyongaa
Koolooombaaaa
Muah!!
You get all the privilege to pee in the boksa after seeing Kasie dancing those songs kwa mine nguo ya kinyonga hehehehehee ayayayaa aya aya aya ayayayaa yataka eeeh
Mama twende mama twende eeeh
Nina njaa ya ........ kulaaa
Nipikie chukuchuku eeehhh
Na mboga ya......... kula Aaaah
Acha kabisa when it comes to dancing I have no mercy aiseeh.
Aiii mama chanja mama chanjaa
Eeeeeh
Kulaaaaa
Na mboga ya kisamvu .....
Eeeee
Kulaaaa
Hapo twaweza yarudi magoma moto kuanzia saa 12 hadi inapogonga saa 12 tena, gharama yangu ni maji tuu na manjonjo au hadi useme poo vinginevyo ngoma hailali hii ni mwendo wa bandika bandua tuu na hii ndo maana halisi ya kubeba bin kuhimili mizigo mizito hehehehehe
(The removed part/quote is pure X, exiled for the healthy of viewers).





haya nimekushindwa Teh teh Kassie ujue hapa nitageuka chizi bure eti na mimi nafanya kama vile nipo na wewe kwa vitendo na hivi you got an A.ss that swallows up a G string .....ayayayayaya
Nyonga zako hizo zungusha mama
Wanikumbusha yule dada kwenye nyimbo ya kanda bongoman Billi
Billi mama lelie
Ongana yeee
Bolingo mamaa eeeh ongana yeee
Pesa ....pesaa...pesaa
Billi ....Bilima bilii
Bolingo mama eeh ongana yeee
haya nimekushindwa
Halafu umeniua hapo chini eti ni X
Ushaanza kuogopa mapema yote hii ?
Hahahahahahahaa midadi imepanda over eeeh heheheheeh usijali one day yes the midadi will be realised into real world.
Halafu dance la namna hiyo huwa linasindikizwa na ule wimbo wa amarula huku mie mkononi nikiwa na glass ya amarula. Sasa hapo tunahamia kwenye ragamafini mwendo wa ku swing up down left right weweeh nakwambia hiyo wacha heheheheheh
Hahahah thats not pure X ,its seduction..... Basi hawa watazamaji inabidi tuwakimbie hapa tutafute sehemu yetu private hapa hapa Jf sasa sijui una Suggest wapi ndio pawe makutano yetuMie tena niogope nimekuwa fisi hehehehehe
Mie hapa ndo kwakee sema nimelinda macho ya watazamaji wanaweza wakakuscorpion macho yako si unakumbuka Next Level alikwambia watch your back everytime. ... your eyes could be scorpioned heheheheheh hadi unaandika pure X halafu hujagundua hehehehehheheeh
Hahahahaha kwa mbaali unamsikia Serani na no games......mara Sean Paul na im still in loveeee....
Hawa hapa Brick and Lace ..love is wicked..
Eeeh heads high .......
Huyo huku naye na murder she wrote....
Kwa mbaaali mzee wa bass na Wild tonight ....
Mara sijui Bennie Man na Dude
Bila kuwasahau jirani zetu wa Necessary noise Ku kuu kubee au Fire anthem ....
Baada ya hapo tumalizie na li slow letu la Marvin
Lets get it on ...
Hahahah thats not pure X ,its seduction..... Basi hawa watazamaji inabidi tuwakimbie hapa tutafute sehemu yetu private hapa hapa Jf sasa sijui una Suggest wapi ndio pawe makutano yetu
Hahshaha mambo si ndio hayo sio babu Asprin alikuwa analeta majungu yake ohh maneno mengi kama Khadija Kopa yeye ashazoea kurukia tu ,hajui raha ya kuomba huku unabembelezaHahahahahahaa Wenzako walishakoroga chai na vitumbua wanavyo mkononi wamekaa mkao wa kuendelea kushiba kwa macho halafu unawakatili kuwa tuhame, usijali kuna kiwanja kimoja hivi ngoja nicheki kisha nikwambie twende hapo ikiwezekana haya mazoezi tuliyoyafanya hapa tuyapractise kiuhalisia kabisa, we live once you know...
Hahshaha mambo si ndio hayo sio babu Asprin alikuwa analeta majungu yake ohh maneno mengi kama Khadija Kopa yeye ashazoea kurukia tu ,hajui raha ya kuomba huku unabembeleza
Walio kaa mkao wa kula watusamehe tu kila kitu na muda wake sie twahamia chumbani sasa