Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Hhahahahahahahahahaa heheheheheheheheheeee hahahahahahahahahahahahahhahahahahahahaaaaaa iihihihihihihihihihihihihihihihihihihihihhh aaahhhh hahahahaaa jamaniii looh

Yaani unajua wewe na babu Asprin mnanivunja mbavu na kufanya hapa nilipo nionekane hamnazo hehehehehehehheee

Sasa ukisusa wenzio, vizuri huwa viko radhi kuhatarishwa hata uhai, haya bana nashukuru lkini kwa burudani usijali babu atasoma tuu hapa na akipata maana yake atakufata hukohuko ulikoenda, jiandae tuu heheheheeee.
Acha niendelee kucheka na kufurahia maisha mie aah.
Teh teh acha tu nife kama Mjerumani na tai yangu shingoni

Afterall huko niendako nina ahadi yangu ya mabikra wa kutosha niombee tu niionje Firdaus

Wacha kina babu Asprin na wengineo waendelee kuhatarisha maisha yao na mzigo bado hawapati

Una waenjoy tu hapa ikifika Magharibi wageukia kwa babu yako

So long Kassie
 
Teh teh acha tu nife kama Mjerumani na tai yangu shingoni

Afterall huko niendako nina ahadi yangu ya mabikra wa kutosha niombee tu niionje Firdaus

Wacha kina babu Asprin na wengineo waendelee kuhatarisha maisha yao na mzigo bado hawapati

Una waenjoy tu hapa ikifika Magharibi wageukia kwa babu yako

So long Kassie

Hhahahahahhaa haya bana jioni njema, wataka nizitaje ratiba za babu hapa halafu babu anigwaye...

Anyways life goes on....
 
Wafuma mwikulu - Umetoka Ikulu.
Wangaluka mwana wa Ntemi - Umeamkaje mtoto wa Mtawala.
Siyo Walolo mayo ni Aluyu mayo inamaanisha huyu hapa mama(mwanamke),
Watolwa mwana wa Ntemi - Ameolewa mtoto wa Mtawala.
Mmh wewe ni mnyamwezi.
 
Aaaaaahahahahahahahahahhaa hahahahahhaahhaaa heheheheheheheheheeheeee aahahahahahahahahhaaaa
Hivi babu unajua kuna watu hapa nilipo hawanielewi nacheka nini maana wananiona niko busy na laptop wakija kuchungulia ni nini wanakuta nimeminimize wall imebaki wall ya mziki wa ragga muffin (halafu siku moja ntataka tucheze wote hili dance, wajua Kasie anapendaga sana kunesa nesa hehehehe)

Kwahiyo babu, unataka tego linase kwa Kima bin Tumbili Nyani Ngabu? usihofu bana hakuna wa kuniwekea tego mnyamwezi mie na akijaribu mtu kuniwekea tego basi kabla ya kuchomeka ala mie najua kulinasua tego kisha tunafanya yetu na tukimaliza nalirudishia palepale.

Na tabia hii ya ubinafsi wameambukizwa na waarabu wa Tabora.
Babu mie na weye naona tumeandikiwa uzima wa milele tuurithi pamoja kwakweli hivyo kuja kulala kwako hakuna namna hadi saa hii mbavu zangu kwishney... hehehehehehheeeee
Hakyamama naona kama mwisho wa dunia unakaribia... najaribu kuimajini Kasie anavozungusha chura lake kwa ragamafini wakati babu ODM kiuno changu kimekakamaa ragamafini naicheza kwa miondoko ya kwaito... wallah hata malaika mbinguni watasimama kuishangilia hii kombineshen...

Baada hapo Kassie atakuwa na kazi ya kummasaji babu maana kiuno kitakuwa kishakaza kama mchezaji mstaafu wa soka.

Sasa jaribu kuimajini mchezo kitandani wenye kombinesheni ya kwaito na ragamafini... Mungu hawezi kuichukulia kama dhambi bali atatupongeza kwa ubunifu... Maana ni kama mechi kati ya Mbeya City Vs Barcelona afu Messi awe golikipa.

Tufanye hima hili tukio lifanyike kabla tetemeko jingine hakijatokea Muleba
 
Hakyamama naona kama mwisho wa dunia unakaribia... najaribu kuimajini Kasie anavozungusha chura lake kwa ragamafini wakati babu ODM kiuno changu kimekakamaa ragamafini naicheza kwa miondoko ya kwaito... wallah hata malaika mbinguni watasimama kuishangilia hii kombineshen...

Baada hapo Kassie atakuwa na kazi ya kummasaji babu maana kiuno kitakuwa kishakaza kama mchezaji mstaafu wa soka.

Sasa jaribu kuimajini mchezo kitandani wenye kombinesheni ya kwaito na ragamafini... Mungu hawezi kuichukulia kama dhambi bali atatupongeza kwa ubunifu... Maana ni kama mechi kati ya Mbeya City Vs Barcelona afu Messi awe golikipa.

Tufanye hima hili tukio lifanyike kabla tetemeko jingine hakijatokea Muleba

Hhahahahahahaaaa babuuuuu you know what..... Kasie go East and turn back to West but to you Babu Big Sam is the Best!!!
I laaabbbb yuuuuuu Babu Big Saaaamm mmmmmmmuuuuaaaahhhhh!!!!!

Let our biology parts greets and shakes-Speer heheheheheee
 
Teh teh acha tu nife kama Mjerumani na tai yangu shingoni

Afterall huko niendako nina ahadi yangu ya mabikra wa kutosha niombee tu niionje Firdaus

Wacha kina babu Asprin na wengineo waendelee kuhatarisha maisha yao na mzigo bado hawapati

Una waenjoy tu hapa ikifika Magharibi wageukia kwa babu yako

So long Kassie
The only way for you to survive this battle is creating a strong relationship with Mshana Jr otherwise the hunter might become the hunted.
Hii vita siyo ya kitoto tena especially kinababu wanapokuwa involved in any matters.
Warning: Watch your back.
 
The only way for you to survive this battle is creating a strong relationship with Mshana Jr otherwise the hunter might become the hunted.
Hii vita siyo ya kitoto tena especially kinababu wanapokuwa involved in any matters.
Warning: Watch your back.
Hell no iam a proper Christian and im told that whoever depends on a human being is cursed

I will always stand on my own feet so God be with me
 
Hell no iam a proper Christian and im told that whoever depends on a human being is cursed

I will always stand on my own feet so God be with me
I understand but in this Battle you are in Samson's shoes, possibility of your eyes Scorpioned is very high.
Chasing Delilah makes you vulnerable kwa sumu ya Nge despite being a good Christian.
 
I understand but in this Battle you are in Samson's shoes, possibility of your eyes Scorpioned is very high.
Chasing Delilah makes you vulnerable kwa sumu ya Nge despite being a good Christian.
Hahah It doesn't really bother me ,i know im in the battlefield and the strongest will survive
But im at peace knowing that i fought on my own till the last breath
 
The only way for you to survive this battle is creating a strong relationship with Mshana Jr otherwise the hunter might become the hunted.
Hii vita siyo ya kitoto tena especially kinababu wanapokuwa involved in any matters.
Warning: Watch your back.

Hahahahahahahaaaa yaani leo humu watu mnanifurahisha mnafaidi hadi usiku huu nilale nikiwa nacheka, napendaje sasaa hehehehehhh

Hivi mshana jr huwa anasaidia vita ya kutafuta nanihii eeehh hata kama mtafutwaji amekula munyu kama Kasie. ..? Hehehehh
 
I understand but in this Battle you are in Samson's shoes, possibility of your eyes Scorpioned is very high.
Chasing Delilah makes you vulnerable kwa sumu ya Nge despite being a good Christian.

Aahahaahhahaahahahaahaa Hehehehehehehehehehehehehehehehehee uuhuhuhuhuhuhuhuhihuhuuuuuuu looh kaka, mbavu zinauma jamani hehehehehehee
Eti your eyes will be scorpioned hahahaha but you have a point, in a battle anything could happen as long as each side want to win and no one is ready to lose.
 
Hahah It doesn't really bother me ,i know im in the battlefield and the strongest will survive
But im at peace knowing that i fought it on my own till the last breath

All the best mwaya...
 
Back
Top Bottom