Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Kwa Wanaojua Kinyamwezi.......

Mkuu nakuibia siri anapenda makuu kuliko makuu yenyewe siyo mtu cheap cheap so Sera zako na ahadi ziwe za ukweli mfano ndoa kufungiwa kwenye Sayari ya Mars yaani etc siyo maua na chips kuku atakwambia maua mpelekee nyuki...

Ntashangaa sana kama Yamakagashi unasikiliza kila cha kufanya unasubiri kuambiwa ndo ufanye...... anyways all the best.

Wacha nipumzike masaa kadhaa baadae nna kikao na presentation mahali flani.
 
Hahahahahahaaa kunena kwa lugha tenaa....
Mmmhh Kasie is always free like a molecule fleeing everywhere ......

Common thing about us....... I have seen it.. have you? Wanna say something about the trip?

Hahahahaha I don't know why men are stupid, you tell me please.
Yes my pretty Lady or should i call you Darling ?

Ofcoz i ve noticed some common things about us
I would ve been dumb not to figure that out

Im trying to corner you ila una ni outsmart

Though hapo kwa why men are stupid nimekukamata

Ungeniambia tu you are stupid cause you know im with someone halafu bado una ni approach

About the trip we can hold hands in the sands in Nairobi then we set sails on our way to Miami
 
Mkuu nakuibia siri anapenda makuu kuliko makuu yenyewe siyo mtu cheap cheap so Sera zako na ahadi ziwe za ukweli mfano ndoa kufungiwa kwenye Sayari ya Mars yaani etc siyo maua na chips kuku atakwambia maua mpelekee nyuki...
Nilishamuuliza kuhusu hilo na Kassie alishanipa jibu zamani labda hujafuatilia tu convo vizuri ,kuna sehemu nilimuuliza kama babu ana mtreat vizuri apart from money and other staff


Wacha kumuwekea maneno Kassie

Hahahaha
 
Ntashangaa sana kama Yamakagashi unasikiliza kila cha kufanya unasubiri kuambiwa ndo ufanye...... anyways all the best.

Wacha nipumzike masaa kadhaa baadae nna kikao na presentation mahali flani.
Oooh no paper imeleak duh
Ila usijali pamoja na yote
Zawadi ya Ushindi umeikaribia vita ya Kagera imekwisha cha msingi nikuomba usipate accident safarini kurudi Dodoma toka Mtukura.
All the best...
 
Oooh no paper imeleak duh
Ila usijali pamoja na yote
Zawadi ya Ushindi umeikaribia vita ya Kagera imekwisha cha msingi nikuomba usipate accident safarini kurudi Dodoma toka Mtukura.
All the best...
Hahaha wewe jamaa lazima usimamie ndoa yetu ,hii vita tumepigana pamoja

Ila bado sana Kassie anaweza kuamka kesho kwa anayopewa na babu usiku wa leo akaishia kuniona kama mkia wa mbuzi ,upo tu lakini sijui una kazi gani

Finger crossed tuombe uzima
 
Habari ya asubuhi wapendwa,

Jana usiku babu wa Kasie amenibembeleza kiaina yake, nilikuwa kila nikijigeuza usingizi hauji, kila nikigeuka huku usingizi unagoma nikamwambia babu mie sipati usingizi na muda unaenda asubuhi ntachelewa kuamka, basi babu akaamka na kuanza kunibembeleza kama mama anavombembeleza mwanaye aliyestuka usiku kwa kuota ndoto mbaya.

Basi babu akaanza kuniimbia nyimbo za kinyamwezi hahahahaa nikaanza kutabasamu huku anani petipeti mgongoni hadi nikapitiwa na usingizi.
Wimbo alioniimbia ninaoukumbuka ni huu....

Wamfuma mwikuluu, wamfuma mwikuluu, wamfuma mwikuluu wangaluka mwana wa Ntemi,
Walolo mayo watolwa mwana wa Ntemi
Wamfuma mwikuluu, wamfuma mwikuluu.. (sijui nimepatia matamshi unavoimbwa)

Maana yake hata sijui ni nini mie nilisikia raha tuu kubembelezwa na nyingine lizoniimbia sizikumbuki maana nilipotelea usingizini.
Babe ake Kasie is so lovey..... muah!! to him.

Kama unafuraha na tabasamu siku ya leo unga hapa kuimba kinyamwezi.
Huu wimbo asili yake,ni kwamba wakati mfalme anataka kutoka ndani ili aje nje kubarizi au kuongea na watu ndiyo anaimbiwa,ni kumkaribisha mfalme tu na kumpa heshima yake
 
Hhahahahahahaaaa babuuuuu you know what..... Kasie go East and turn back to West but to you Babu Big Sam is the Best!!!
I laaabbbb yuuuuuu Babu Big Saaaamm mmmmmmmuuuuaaaahhhhh!!!!!

Let our biology parts greets and shakes-Speer heheheheheee
Wakati ukiwa East unageuka kuelekea west, mimi babu ODM... yaani mimi mwenyewe Big Sam orijinale... ntakuwa natokea north kuelekea south kwa bodaboda... tafakari kitakachotokea hapo katikati kwenye junction. Unajua ajali nyingine hazihitaji trafiki kupima... kwa maana miezi tisa itakayofuata maternity ward itadhihirisha chanzo cha ajali.

Baada ya kusema hayo naomba kuweka msisitizo na kutoa ufafanuzi hapo kwenye red... kwamba lolote litakalomtokea huyu dogo Yamakagashi ... mi ntakuwa nahusika. Maana namsoma huku roho inaniuma... namsoma tu anavyokusarandia afu na wewe unamchekeachekea tu.

Mara ya mwisho kufanya mambo yangu ni siku nilipombadilisha mtu jinsia... then jinsia hiyo nikaiweka usoni. Imajin, kabla ya kumbadili mtu huyo alikuwa mwanaume... unaweza kuimagine ni kitu gani kilihamia usoni mwake... amin amin nakuambia afadhali mbuzi ya kwake samtaimz anaiziba na kufukuza nzi kwa mkia...

Nimemaliza.
 
Aaahahahahhaa ndo lugha gani hii naona ina kibantu na kiinglish humo humo heheheheee
Haya weka na tafsiri yake, halafu uendelee kuimba hadi ninogewe wimbo mwingine na mwingine tena.

Ila babu ake Kasie akikubamba unaniimbia mie nakukana kuwa sikujui looh heheheheee (jiandae kwa hilo).
Teh teh juhudi zote hizi nafanya kubahatisha kumbe babu akitokea nakanwa ? Sasa nakauka koo hapa bure kumbe naburudisha babu akija ajichukulie tu ?
Basi sitoi tafsiri babu akiona mwambie huyu ni mgonjwa wa akili hunielewi

Ndio bye bye Kasie tutaonana panapo majaliwa

Namaganda nze tombonyabonya, oweffumbe nze tonumya baby,
nandyagadde nkunanike empeta kasita ebintu tobiwanvuya
Ndimwana wa mpiisa nze banjulira ,banjulira ndi mukwata mpola
njagala kutwaleko mumawanga ge'bweru ,nkujje kukaalo nkulambuze ensi eno
Teh teh acha tu nife kama Mjerumani na tai yangu shingoni

Afterall huko niendako nina ahadi yangu ya mabikra wa kutosha niombee tu niionje Firdaus

Wacha kina babu Asprin na wengineo waendelee kuhatarisha maisha yao na mzigo bado hawapati

Una waenjoy tu hapa ikifika Magharibi wageukia kwa babu yako

So long Kassie


Napenda tu kuwataarifu, sijabarikiwa na haya makitu yenu.

Naenda mlimani kukesha na kusali
 
Kasie ulevi wake mdogo tuu, muimbie nyimbo nyimbo nyingi nyingi tuu, mojawapo ikimkuna basi umempata.
Hii kauli sijaipenda... hasa ukizingatia nilikosa nafasi ya kufanya kolabo na Diamond kwenye kale kaSalome... Diamond ana roho mbaya, eti alinambia sauti yangu labda nimtafute Man Fongo niimbe singeli ya hakunaga ushemeji remix...
 
Napenda tu kuwataarifu, sijabarikiwa na haya makitu yenu.

Naenda mlimani kukesha na kusali
Nisamehe mzee si unajua tena mjomba kaja sema ujue nini lile gari linaenda na bado mbuzi hawajala mwambie mwalimu watoto wakitoka shule waache wale mafundi waje na radio na kesho pilot anaruka basi kijijini shida umeme yaani duka la mangi anauza spea za trekta na utumbo wa mbuzi
 
Nisamehe mzee si unajua tena mjomba kaja sema ujue nini lile gari linaenda na bado mbuzi hawajala mwambie mwalimu watoto wakitoka shule waache wale mafundi waje na radio na kesho pilot anaruka basi kijijini shida umeme yaani duka la mangi anauza spea za trekta na utumbo wa mbuzi
Umesamehewa sheikh... nimekusamehe kwa kuwa wewe ni UKAWA mwenzangu kutokea kanisa katoliki jimbo la Sudani ya Kusini.
 
Wafuma mwikulu - Umetoka Ikulu.
Wangaluka mwana wa Ntemi - Umeamkaje mtoto wa Mtawala.
Siyo Walolo mayo ni Aluyu mayo inamaanisha huyu hapa mama(mwanamke),
Watolwa mwana wa Ntemi - Ameolewa mtoto wa Mtawala.
Wabhezya mnyanda wa kumwa Ntemi Mirambo
 
Back
Top Bottom