Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa)

Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group SmatSkills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni
Upo mkoa gan I'll tuzipate ?
 
Line zimeisha ...sijajua lini zingine zitakuja...ila kama una shida nayo unaweza nicheki kwa wakala anapatikana Moshi na nitakupa no zake muwasiliane kwa biashara zaidi.

Kama zitakuja mpya mtapata taarifa hapa hapa kwenye thread hii asante sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
1) Hizi simcard zina operate Tanzania?
2) Naweza ku transfer hela kwenda Skrill?
 
Naomba kuuliza swali about paypal.. Nipo Tanzania so nikifungua account paypal nieke location yangu nipo nchi gani, Kenya au TZ?
Sababu nataka kuunga paypal with Safaricom M-PESA
 
Naomba kuuliza swali about paypal.. Nipo Tanzania so nikifungua account paypal nieke location yangu nipo nchi gani, Kenya au TZ?
Sababu nataka kuunga paypal with Safaricom M-PESA
Ikiingia kwenye site ya paypal chini kabisa utaona bendera ya Tanzania toa weka ya Kenyà
 
Inakuaga imesajiriwa kabisa full registration kule kule Kenya tena kwa National ID, Na number za ID unapewa/zmeandikwa kwenye registration form baada ya kukamilisha usajiri wake.. Swala la kutumia WhatsApp kusumbua watu hii ni mtu mwenyewe na matatizo yake au akiri zake! Sidhani kama ndio matumizi yake hayo..
So hii inaitwa SIM CARD LAUNDERING au tuitaje?
 
mkuu hizi line za SafariCom zimesajiliwa M_pesa ya huko kbisa au vipi? Pia naomb kujua unapoiweka kwenye Simu inashika vipi network wakati huku TZ hamna minara ya safaricom? ....natanguliza shukrani
 
mkuu hizi line za SafariCom zimesajiliwa M_pesa ya huko kbisa au vipi? Pia naomb kujua unapoiweka kwenye Simu inashika vipi network wakati huku TZ hamna minara ya safaricom? ....natanguliza shukrani
Mkuu bila m-pesa hazingekua na maana,ziko full registration, na popote inapopatikana tiGO, Halotel na Vodacom na Safaricom utaipata.
 
Back
Top Bottom