Kizazi cha sasa hivi ubishoo mwingi. Huo mfumo safi sana. Wanafunzi wasome sio kwenda kula bata wakati wenzako wanasoma.oho wacha ww mwnye A ya 78 na mwenye A ya 80 wanatofauti kubwa sana. C ni 50. bado practical test nazo yan ilimuradi ufel tu
![]()
Sio kwelu kuwa hivyo vipimo vimewekwa ilimradi ufeli....mbona kuna wanao faulu kwa vipimo hivyo hivyo...ukifanya mchezo ukafikiri bado uko shule ya upili utafeli kwelioho wacha ww mwnye A ya 78 na mwenye A ya 80 wanatofauti kubwa sana😅. C ni 50. bado practical test nazo yan ilimuradi ufel tu😂
kwann iwe SUA tu?Kizazi cha sasa hivi ubishoo mwingi. Huo mfumo safi sana. Wanafunzi wasome sio kwenda kula bata wakati wenzako wanasoma.
oho wacha ww mwnye A ya 78 na mwenye A ya 80 wanatofauti kubwa sana
september conference😂😂😂😂😂Karibuni sana madogo.. Sisi tupo tunaangaika na Probations za kutosha.. SUA naipenda sana Ila SUA ni ngumu mno.. Hapa hata kama MTU hupendi masherehe Ila ukimaliza hapa na ukavaa Jooh lazima hyo siku ushangilie na kupiga pombe za kutosha... Shikamoo SUA, Shikamoo Freedom square hall
tena ni kuwahi nafasi ni chache😅😅september conference😂😂😂😂😂
Samahan naomba kuuliza et kwa first year n kazima kukaa hostelHamkuambiwa kwamba sua ni mtego 😂😂
Hapani wewe tu ukitaka uende kitaa au ukae hostel za chuoSamahan naomba kuuliza et kwa first year n kazima kukaa hostel
Mkuu, umepata SUA..?Samahan naomba kuuliza et kwa first year n kazima kukaa hostel
Nimesha wambia wanadhani utani SUA sio chuoNendeni mkateseke, sio chuo kile.
Probabtion bado hazijaanza, zitaanza tarehe 18 mwezi huu wa kumi!september conference😂😂😂😂😂
Sio chuo,ni nursery au?Nimesha wambia wanadhani utani SUA sio chuo
ndo mida yake hiyo😂😂😂😂😂Probabtion bado hazijaanza, zitaanza tarehe 18 mwezi huu wa kumi!
Ndy nmepata sua Ila naskia n hatariiMkuu, umepata SUA..?
Mdogo wangu kachaguliwa sua Kama upo uko naomba kujua Bei za vyumba vyakuishi zinacheza kweny ngapi kwachumba chakawaidaHapani wewe tu ukitaka uende kitaa au ukae hostel za chuo
Mdogo wangu kachaguliwa sua Kama upo uko naomba kujua Bei za vyumba vyakuishi zinacheza kweny ngapi kwachumba chakawaida