nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,199
- 6,890
Kuna mchepuko wangu mmoja nilikuwa nikimfuata kwenye hayo majengo alikuwa yuko floor ya kwanza ama ya pili kama sijakosea alikuwa akisoma master’s ya Agribusiness.
Safari zangu zote za Morogoro nilikuwa na uhakika wa kupata kampani nzuri kutoka kwake.
Popote ulipo “J” heshima yako mama, sio kwa utamu ule uliokuwa nao.
Safari zangu zote za Morogoro nilikuwa na uhakika wa kupata kampani nzuri kutoka kwake.
Popote ulipo “J” heshima yako mama, sio kwa utamu ule uliokuwa nao.