Kwa wana CHADEMA halisi

Kwa wana CHADEMA halisi

WEWE MBURULA AMBAE HATA JINA UMESHINDWA KUANDIKA ET (mmh) ACHA UPUMBAVU WAKO NA ONDOA PROPAGANDA ZAKO TUSHAWASHTUKIA
 
Ndugu wapenzi na wanachadema halisi wa chadema na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamani.
hatutakiwi kubeba makosa ya mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.
kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye hangefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula? kweli tunafikia sehem kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na ccm! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape ccm waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya. kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind. mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwawekakando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.
jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi huki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza!
ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo! kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.
wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape ccm muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.
tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.
wanamageuzi wakweli shime tupigie ccm mwaka huu.

Mimi sina chama na wala sio chadema asilia wala sipo kwenye kundi la chadema makapi lakini kura yangu ccm hamuwezi kuipata
 
Ugojwa wa kisonono nasikia bado upo!Tena nasikia unaweza kusambaa na kuharibu ubongo.!
 
Ndugu wapenzi na wanachadema halisi wa chadema na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamani.
hatutakiwi kubeba makosa ya mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.
kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye hangefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula? kweli tunafikia sehem kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na ccm! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape ccm waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya. kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind. mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwawekakando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.
jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi huki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza!
ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo! kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.
wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape ccm muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.
tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.
wanamageuzi wakweli shime tupigie ccm mwaka huu.

Magojwa mengine ni hatari.
 
Wewe sio chadema wewe ni ccm
show your true ccm bro, chadema halisi tupo na tunaendelea na mapambano...ukitaka mfuate dr. Mihogo si yupo huko mkaanzishe chama chenu....hapa sisi tuliisha sahau anything rather than lowasssaaaaa mabadiliko mabadiliko........utamalizia....wasilimie lumumba.


huna unachojua, mmekuja juzijuzi tu mnajidai wanamageuzi milobobea, muda wote mlikuwa wapi! Kama wanaume si mngeanzisha chama chenu muda mrefu!
 
.
..hapana.

..tukiwapa ccm itachukua miaka mingine 50 kuwatoa.

..bora tuwape ukawa halafu tutumie miaka mingine 5 kujipanga kupata hayo unayoita mageuzi ya kweli.

..nakuhakikishia itakuwa rahisi kuwaondoa ukawa 2020 kuliko kuwaondoa ccm -From Jokakuu


Kuendelea kubaki chama cha Siasa Hai na Imara,CHADEMA ni lazima mgombea Urais wao ashinde na kutwaa kiti cha urais wa Tanzania; vinginevyo CHADEMA itaifuata NCCR mageuzi kwenye LIMBO--from Madela wa madilu

cc JokaKuu & Madela Wa- Madilu
OH YeS :A S thumbs_up: you both are scientific correct😛eace:
 
Last edited by a moderator:
maada yako haina dira sisi tutampa kura mgombea wa ukawa hata kama waweke jiwe
 
Mamluki wa CCM nyie kama huridhishwi na CHADEMA uko huru kuhamia. CCM, ole wake aingie mtaani mtawakumbuka Mamluki waliopata kichapo
 
Sumaye amesema leo hata kama Chadema watachukua madaraka lazima baadhi ya viongozi kutoka ccm waongezwe.

Hii inaonyesha dharau za Sumaye dhidi ya Chadema.
 
Sumaye amesema leo hata kama Chadema watachukua madaraka lazima baadhi ya viongozi kutoka ccm waongezwe. Hii inaonyesha dharau za Sumaye dhidi ya Chadema.
Yule anajua pale hakuna mwenye akili kupewa nchi
 
uwomuda wakuandika hayo maneno yote ni bora ungelala..ukakua. jengine ..wewe ndiyo mburula... tena wewe ni mburula % ...

Hapa ni ukawa%
 
ITmasaki , tunga jingine na hilo limepinda.tatizo mleta uzi fake mnautoa China ??? Jaribu India walau inaweza kusaidia.
 
Sana... hapa kazi tu, ninabaki mdau wa CDM asilia lakini kwa tapeli kuuza chama na kujiona yeye anajua kuliko sisi tulikuwa tunakichangia chama kwa ada zetu na nguvu zetu, katu hatuwezi kushiriki na mnafiki katika vita safi, hatuwezi kumkumbatia nyuki tena ..tunapaki basi, tunarudi kwa Magufuri, tunampa kura na tunajiorganize upya adui yetu akiwa msaliti wetu kwanza mengine baadae
 
Back
Top Bottom