Kwa wana CHADEMA halisi

Kwa wana CHADEMA halisi

Mimi nataka kujiunga na chadema asilia, nitajie viongozi wetu.
 
Haya ushapost upungese nenda kakojoe ukalale sasa.. mmh
 
Last edited by a moderator:
kama CHADEMA imekushinda bora uhame kimyakimya kuliko hiki ulichokiandika hapa
 
2013, Madela Wa- Madilu,

..siyo rahisi hata kidogo kwa cdm kuzorota kama nccr.

..cdm tayari kimeshaweka misingi ya kitaasisi. Nccr hawakufanya hivyo wakati walipokuwa maarufu.

..cdm pia ina hazina ya viongozi ambao wana wito wa kufanya siasa na harakati. Nccr iliundwa na viongozi ambao walikuwa wanasheria maarufu ni masuala ya siasa walikuwa wanafanya on part-time basis.

..cdm hata wakishindwa wataendelea kuwepo tu na hata kustawi zaidi. Sasa hivi ni wapinzani, kwa hiyo hawatakuwa ktk mazingira yoyote yale mapya ikiwa watashindwa.

..chama ambacho kitakuwa na wakati mgumu ikiwa kitashindwa ni ccm. Hawa wamezoea kubebwa na dola. Pia viongozi wake wengi wapo kimaslahi zaidi, na vilevile hawana mtaji wa viongozi wenye wito wa kufanya siasa za upinzani.

..hivi unategemea watu kama philip mangula, abdulrahman kinana, john magufuli, samia suluhu, january makamba, na wengine wanaweza kuvumilia shuluba na dhiki za kufanya siasa za upinzani ikiwa ccm watashindwa?

..ccm ni sawa na watoto wa "kula-kulala" au "openi-friji", kila kitu wanapewa na baba. Sasa siku baba akitangulia mbele za haki watoto huingia ktk dhiki na mifarakano isiyoelezeka.

Cc ZeMarcopolo, zumbemkuu, Mkandara, NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wapenzi na wanachadema halisi wa chadema na mageuzi kwa ujumla, haihitaji kuwa na degree kujua tumesaritiwa na watu tuliwaamini na kuwapa vyeo ndani ya chama chetu ili watuongoze, cheo ni dhamani.
hatutakiwi kubeba makosa ya mbowe wala yeyote, kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.
kutuletea mgombea uraisi wa kuchonga ni jambo lisiloingia akilini! katika watu wote ina maana hakuna mtu ambaye hangefaa kuongoza nchi? ina maana chama chetu kwa muda wote ni mamburula? kweli tunafikia sehem kwenda ikulu kwa kudandia lift ya gari bovu liliachwa na ccm! hii haiingiii akilini! huu ni udhalilishwaji mkubwa wa wanamageuzi wote! ndo maana wanamageuzi wa kweli wengi wamepiga u turn! bora tuwape ccm waendelee kuongoza japo kwa miaka mitano ili tujipange upya. kurudisha majeshi nyuma ukijipanga ni mbinu ya kijeshi. kwa hapa tulipofikia tukiendee mbele bila kujipanga upya hatutakuwa na real cause ya kuendelea na mapambano maana majemedali wetu wamepigika kiaakili, wako insane, hawana clear mind. mwanajeshi mtiifu yeyote kinachotakiwa kwa sasa ni kutumia akili na means yeyote kuwawekakando hawa majemedari na kurudi nyuma ili tujipange kuepusha maafa na madhara zaidi.
jeshi letu limeeingiliwa na mamluki aliyokuja nayo huyu mgombea wa kuchonga, wanatutumia tu kwa malengo maalum kwa kipindi huki! tusiiombe wapate wanachotaka! tutalia na kusaga meno jinsi watakavyotutifua! wao hawana chakupoteza!
ndo maana nawaomba sana wanamageuzi tufumbue macho! tafakari watu waliokuwa upande wa pili wamekuja huku kwa wingi na mambo yao yaleyale waliyokuwa wanayafanya kule ikiwemo matusi na kejeli na dharau kwa mtu anaye tofautiana nao mawazo! kwao matusi wala sio issue! kwao kuongopa wala sio issue! tabia ya virusi inapoingia kwenye system ina act kama genuine software kumbe ukishaikubali inaanza kula mafile na hatimaye kucolapse system nzima.
wanamageuzi tuungane kukataa mageuzi ya kitapeli haya ya virusi kwa njia moja tu, tuwape ccm muhula mmoja then kipindi hiki tujipange kwa mageuzi ya kweli.
tupingane na mabadiriko yasiyoweza kuratibiwa.
kama tunaipenda nchi yetu tukatae huu mkusanyiko wa chui wenye njaa wanaohubiri kukomboa kondoo kutoka zizi la simba walio shiba.
wanamageuzi wakweli shime tupigie ccm mwaka huu.

Akili ya ngiri @ work
 
Acha propaganda za kitoto tena za kizamani kama zile za omari mahita

wewe kada wa ccm tena uliyefirisika kielimu,kiuelewa, you are not creative.huwezi kumshawishi hata

mtoto wa darasa la saba. Usirudie utoto wako wapelekee huko kwenu mliopumbazwa na uongo wa chuo cha kigamboni cha propaganda

Kamanda umempatia jibu tosha huyo gamba luwala
 
Mkuu hongera kwa mchanganuo mzuri ingawa nasikitika kuwa hakuna atakayekuelewa kwa kipindi hiki....tena unaweza ukaambulia matusi.....

Hilo gamba halina akili kabisa ni afadhali ya kichaa kuliko huyo gamba mwenzako
 
tuondolee uchiz wako apa! sasa c uende ccm uko kwan lazima ubaki chadema? au unataka mitus saa hz
 
Kwa sasa mabadiliko ni kitu muhimu kuliko MTU yeyote.Lowasa ndiye chaguo la wengi
 
Hivi kuna mtu anaweza soma hilo bandiko hadi mwisho? Chadema halisi ni nini....... tulieni October mtapata majibu

Hata Team Lowassa washashtuka.
Kaa utulie dawa iingie..mliambiwa mkatukana watu 😆
 
Ni ngumu kubadilisha akili ya mtu,bakini na ccm yenu ila mm na familia yangu,TUTAPIGIA UKAWA.
 
Hivi kuna mtu anaweza soma hilo bandiko hadi mwisho? Chadema halisi ni nini....... tulieni October mtapata majibu

Umenisemea na mimi. Sentensi ya kwanza nikaenda ya mwisho kabla ya kudelete nikaona andiko lako. Anahubiri mabadiliko kupitia "CCM ni ileile!!!!!". Nyambafu zake!!!!
 
mmh, MM, etc - viumbe kama nyinyi, hamuwezi na hamtokuja kuweza kubadilisha fikra hata ya Mtz mmoja. Na mnavyotumika kujaribu kuigawa UKAWA na Chadema nawaambia sisimizi akiwa katikati ya bahari udhani yuko peke yake baharini kumbe nchi kavu wapo mamilioni.
 
Hili wala lisiwasumbue mioyo wapenda mageuzi wa kweli; watu ambao wanatambua kilichotokea wanasubiri tu siku hiyo ili waizimishe daima hi safari isiyo na lengo. Wanachadema na wanamageuzi ambao wamekataa kuwa sehemu ya usaliti huu harakati wanajua nini kinahitajika na wanasubiri kwa hamu kukata kile tunachoweza kukiita ni "ngebe" ya kundi la wanasiasa ambao wamejaribu kuchukua njia ya mkato.

Mm namisi uandishi wako na babu Asprin yuko wapi huyu concord wa jf
 
Hapa naona huu Uzi in wa magamba maana Mimi tangu 2005 sijawahi sikia chadema halis
 
njoo na wazo mbadala kama unalo maana sijaelewa ulichomaanisha

Ndugu post no. 2 naona imeondolewa, nairejea tena. Bandiko lako ni la Hovyoooo!, unatofautiana vipi na hao unao waita wasaliti kwa kutuhamasisha tuipigie kura ccm??. Wewe si ni chadema asilia??. Hebu twambie katiba ya chadema inamtaka mwana chama mpya akae muda gani ili awe na haki ya kugombea nyadhifa mbali mbali ktk chama?????
 
Sana... hapa kazi tu, ninabaki mdau wa CDM asilia lakini kwa tapeli kuuza chama na kujiona yeye anajua kuliko sisi tulikuwa tunakichangia chama kwa ada zetu na nguvu zetu, katu hatuwezi kushiriki na mnafiki katika vita safi, hatuwezi kumkumbatia nyuki tena ..tunapaki basi, tunarudi kwa Magufuri, tunampa kura na tunajiorganize upya adui yetu akiwa msaliti wetu kwanza mengine baadae

Wewe na nani? Kura yangu kwa Lowasa.
 
Back
Top Bottom