Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,093
........Akilelewa na baba wa kambo is okay, sababu mimi nitakuwa naye mwanangu muda wote.
Na baba wa kambo akishanipenda mimi, basi atampenda na mwanangu. Wanaume wengi hawanaga tatizo na watoto wa kambo kama wanawake.
kubaliana na masharti ya mkeo.....huyo uliyezaa nae jaribu kumwelewesha vizuri......kwamba ili kuepusha mengine akubaliane tu na mashart ya mkewe.....
Hapo mkeo yupo sawa kabisa...! Afike kwako ili iwaje? Kama mama mtoto anataka kumuona mwanae amfate sehemu tu, sio kwako!
Mpwa nimeshakuelewa
Naomba unieleweshe nimetoka kapa
Ushauri mzuri sana huu. Soon nitakuwa kwenye position ya mleta mada. Moja ya Jambo ambalo limekuwa lina niumiza kichwa ni hili
Mzee wangu alinipa ushauri kama huu wa kumpeleka mtoto boarding lakini boarding kwa mtoto mdogo nayo ni tatizo kidogo. Utashindwa kumfuatilia maendeleo yake kwa ukaribu ukizingatia walimu wenyewe hawa wa siku hizi ni tabu. Lakini pia wakati wa likizo bado tatizo litakuwa palepale.
Mimi Nadhani kama unaishi na wazazi wako Au shangazi yako mkoa mmoja mtoto awe anapelekwa Huko halafu mama yake anaenda kuonana naye. Kuwe na kuna ratiba maalumu,Mfano kila Jmosi.
Kimsingi mke wako yupo sahihi,huyo mama wa mtoto wako hatakiwi kabisa kugusa kwenu wala mtoto hatakiwi kwenda kwake maana atamjaza ujinga.
Kwakweli hili suala limenigusa sana. Nilizaa na mwanamume aliekuwa mpenzi wangu hatukuweza ishi pamoja nikaondoka na mtoto kwetu hawakupendezwa na mimi kuzaa bila kuolewa walikuwa sahihi, niliendeleza maisha na mtoto wangu kwa muda wa mwaka mmoja ndipo niliezaa nae akaniomba nimpeleke mtoto kwa mama yake nikampeleka baadae ikatolewa sugestion niwakabidhi mtoto akiacha kunyonya,nikaona si busara ndipo walipomuiba akiwa na miaka mitatu nikafuatilia mahakamani na Kivulini pia lkn kote sikupata msaada,nikaishia kusikia mtoto yupo huku mara kule, nikaenda nikamchukua, nikashtakiwa kwa wizi wa mtoto, nikanyanganywa mtoto niliezaa mwenyewe akiwa na miaka mitatu baba yake akakabidhiwa kwa amri ya mahakama ya mwanzo. NIKAWEKEWA wanted nisionekane maeneo yakwao. Baadae sikujua mtoto alipo tena hadi mwaka juzi akiwa darasa la pili ndipo nilipotafutwa na baba wa mtoto akidai mwanao ananisumbua njoo umsalimie, nikaenda baadae mtoto akalilia kwenda na mimi nikapewa wiki moja niende nae nitamrudisha, nikakaa nae nikamrudisha. Nikapewa masharti kuwa nikitaka tena kumuona mtoto sharti nipige simu kwa mkewe na approve ndipo nitamuona,anyway nilimuomba Mungu azidi kunipa ujasiri. Siku moja ilikuwa siku ya kuzaliwa kwake mtoto nikawapigia simu nilete zawadi lol nilijibiwa kuwa sijawahi zaa hivyo sina mtoto km huyo. Nilipiga moyo konde nikaenda hadi hapo kwao nikampa mtoto zawadi nikaondoka wakiniangalia. From that wamehama na sasa ni mwaka wa pili sijamuona tena mtoto wangu na anatimiza miaka kumi.
Reason kubwa ya kutokuwa na access na mtoto kwa mujibu wa baba yake ni kwamba anampenda sana amefanana nae.
Kwakweli hili suala limenigusa sana. Nilizaa na mwanamume aliekuwa mpenzi wangu hatukuweza ishi pamoja nikaondoka na mtoto kwetu hawakupendezwa na mimi kuzaa bila kuolewa walikuwa sahihi, niliendeleza maisha na mtoto wangu kwa muda wa mwaka mmoja ndipo niliezaa nae akaniomba nimpeleke mtoto kwa mama yake nikampeleka baadae ikatolewa sugestion niwakabidhi mtoto akiacha kunyonya,nikaona si busara ndipo walipomuiba akiwa na miaka mitatu nikafuatilia mahakamani na Kivulini pia lkn kote sikupata msaada,nikaishia kusikia mtoto yupo huku mara kule, nikaenda nikamchukua, nikashtakiwa kwa wizi wa mtoto, nikanyanganywa mtoto niliezaa mwenyewe akiwa na miaka mitatu baba yake akakabidhiwa kwa amri ya mahakama ya mwanzo. NIKAWEKEWA wanted nisionekane maeneo yakwao. Baadae sikujua mtoto alipo tena hadi mwaka juzi akiwa darasa la pili ndipo nilipotafutwa na baba wa mtoto akidai mwanao ananisumbua njoo umsalimie, nikaenda baadae mtoto akalilia kwenda na mimi nikapewa wiki moja niende nae nitamrudisha, nikakaa nae nikamrudisha. Nikapewa masharti kuwa nikitaka tena kumuona mtoto sharti nipige simu kwa mkewe na approve ndipo nitamuona,anyway nilimuomba Mungu azidi kunipa ujasiri. Siku moja ilikuwa siku ya kuzaliwa kwake mtoto nikawapigia simu nilete zawadi lol nilijibiwa kuwa sijawahi zaa hivyo sina mtoto km huyo. Nilipiga moyo konde nikaenda hadi hapo kwao nikampa mtoto zawadi nikaondoka wakiniangalia. From that wamehama na sasa ni mwaka wa pili sijamuona tena mtoto wangu na anatimiza miaka kumi.
Reason kubwa ya kutokuwa na access na mtoto kwa mujibu wa baba yake ni kwamba anampenda sana amefanana nae.
Mimi ni mwanaume nilibahatika kupata mtoto wa kiume nje ya ndoa.
Sasa miaka 10 baadae nimeoa na nimemchukua huyu mtoto wangu naishi naye.
Sasa mke wangu ameniwekea masharti ambayo nafikiri ni magumu kutekelezeka. Naamini kuwa mwanamke niliye zaa naye ana haki ya kumuoma mtoto wake kila anapohitaji kufanya hivyo.
Sasa mke wangu hataki huyu mama mtoto afike nyumbani kumuona. Hataki mtoto aende kwa mama yake. Anataka mama mtoto akitaka mtoto tumtume housegirl ampeleke mtoto hoteli foleni halafu wakimaliza kuongea arudi naye.
Hali hii imeniingiza kwenye migogoro maana mama mtoto anaona namnyanyasa na upande mwingine mke wangu anaona pia namnyanyasa.
Hebu niambieni what is the beat way ku deal na hii situation?