NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Mkwizu, Lwiza, Minja, Bais....hawa watu wa Finance lazima wakung'ang'anie mwaka huu!
Dr.Daudi Lwiza siku hizi amekuwa hivi jamaani?Enzi za 92/93 mbona alikuwa poa?Nini mamemsibu?Au alivyounguzwa uso na mke wake ndo hasira anamalizia kwa wanafunzi wake nini?mmmm poleni