kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
Sasa si mutuwekee mapichaa fyooooo!! Wengine hatuna kideo munasemasema tu na kunirusha roho hapa!! Munaniudhi !! Weka video !!!fyuuuuuuuu!!(afu ninahasira sijui nani kaniudhi ? Kideo sina!!!) hujambo Dinazarde .....?
![]()
aa Huyu Commando alinifurahisha kwa kuruka msamba ingawa kibao cha mguu wa kushoto alikikosa kukivunja, mwenzake akakitupa kutudanganya lkin kwa kimo kile wengi mtaani hatuwezi
Kombora la kudungulia ndege linaloitwa KING'ANG'ANIZI. Likitumwa linaikimbiza ndege kwa speed kubwa kila ndege inapojitahidi kubadili mwelekeo. Rubani akiliona anaamua kuiacha ndege
Janaa nilichekaa sanaa kuonaa jeshii la Tanzaniaa lilivyo fanya makekee yakee mbele ya maraisii wote wa East Afrika
Jk bas alifurahi na kucheka kilaa mudaa anatabasamu kama kawaida yakeee
Je ni sehemu ganii we ilikuchekeshaa janaa maana wanajeshi wana mbwembwee walee japo wameshibaaa na walifanya mazoezii ya kutoshaa nadhanii
Na mtangazaji naee alikua na mbwembwe kuelezeaa vifaa vile vya kivitaaa najuaa ilikua ni kuonyesheaa baadhi ya nchii fulani maana Jk kwa kupenda sifa hajambooooo aisee
Naomba kila mtu aelezee sehemu iliyomfurahishaa janaa
Mi palinifurahishaa pale yule mjeda anapigwaa na ubao lainii akipigwaa unakatikaa halaf anamuita ampigee tena nilicheka sanaaa aiseeee
Wadauuu tiririkaaa matusi hayatakiwiiii hapaa tunahitaji kufurah na kuchekaa sieeee
Kigogo ukujee bila kusahau na Gogle
kuna kifaa alau kimoja kati hivyo vilivyooneshwa, kimetengenezwa tanzania?
niliwahi kuona kwenye TV korea kaskazini wakifanya maonesho ya kijeshi. silaha kali za kivita na majeshi yakipita mbele ya rais wao wakati huo Kim Jong Il, Kajamaa hakacheki hata robo.
Asante kmdh tuendelee kuelimishana hivyo! Kazi yetu ni kulipa kodi na tuna haki ya kuwahoji kwa nini hawajaitumia vizuri.Siyo wajibu wake kununua
madawati ni wajibu wa serikali. Wajibu wake kama raia ni kulipa kodi na
serikali kuitumia kodi kuleta maendeleo siyo kununua vifaa vya jeshi vya
kutishia wananchi.
Hayo makombora
yanapoikimbiza ndege yanafuatilia INFRA RED RAYS zinazotoka kwenye
injini ya ndege. sasa zipo ndege ambazo ni upto date zaidi zinaweza
kuyachangaya hayo makombora.
Shule hazina madawati tunashabikia kuona vifaa vya kijeshi vinavyopata kutu
Sio mbwembweeee