digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,941
- 14,471
We dalali tu huna jipyaSometimes kuweka bei hapa inaweza kuonekana kama vile bei sio negotiable na ukamkimbiza mteja. Ni vizuri mteja mwenye uhitaji akawasiliana na sisi.
We dalali tu huna jipyaSometimes kuweka bei hapa inaweza kuonekana kama vile bei sio negotiable na ukamkimbiza mteja. Ni vizuri mteja mwenye uhitaji akawasiliana na sisi.
Yanasafishwa. Tuletee sample yake tuyapime, utuambie unahitaji machine yenye uwezo gani kisha tufanye.Mkuu naleta tena masihara, tunaovuna maji ya mvua hayahitaji kusafishwa mpaka nilete masihara tena, kama Nina kisima changu cha Lita elfu 50 INA maana siwezi kuyasafisha??
Wewe jamaa siku ukija kunifahamu utajidharau sana.We dalali tu huna jipya
Cost yake ikojeMachine ndogo kwa matumizi ya nyumbani ipo mkuu. Machine ya litre 2,000 per day inakutosha kabisa.
hayo maji uliyoyataja mbona yana pH kubwa sana kulinganisha na mengine,binafsi nikifululiza kuyanywa siku 3 vidonda vya tumbo vinanirudia,hakuna namna hizo mashine zako zinaweza kupunguza hiyo pH?Kabisa mkuu. Maji ya uhai yanatengenezwa kwa technology hii hii mkuu tunayotumia sisi.
Bei milioni 4.Cost yake ikoje
Reverse osmosis ni technology ya zamani mkuu. Bei zetu zinaanzia milioni 4 na kuendelea.Mkuu natamani sana kujua bei.... Alafu kingine, naomba kuuliza swali la kijinga kama maswali mengine, je, hiyo technology ya kuchuja ni tofauti na reverse osmosis?
Nimetolea mfano tu mkuu ila machine zetu zinachuja maji kwa kiwango ambacho ni acceptable kwa standard za maji safi na salama. Maji inayotoa lazima tuyapime maabara ili kumkabidhi mteja report ya maji safi na salama.hayo maji uliyoyataja mbona yana pH kubwa sana kulinganisha na mengine,binafsi nikifululiza kuyanywa siku 3 vidonda vya tumbo vinanirudia,hakuna namna hizo mashine zako zinaweza kupunguza hiyo pH?
Soma comment mkuu. Bei nimeweka. Kuna mdau kaulizia bei ya hiyo iliyopo kwenye picha nimetoa bei tayari.Mpaka sasa hujaweka bei.. hiyo masine ni ya kichawi bei yake damu ya mtu au
basi mambo yasiwe mengi. sema iyo kwenye picha bei gani na inatoa maji kiasi gani
Hamna kitu huna lolote dalali tu.Ndio maana longolongo nyingi sana.Wewe jamaa siku ukija kunifahamu utajidharau sana.
Poa mimi dalali. Umeridhika?Hamna kitu huna lolote dalali tu.Ndio maana longolongo nyingi sana.
Nenda maduka ya chemicals nunua Chlorine(ya powder) then wmbie ukubwa wa kisima chako (in volume) watakwmbia kiasi cha kudose.Nataka dawa ya kusafisha maji ya kisima, yawe meupeeee
Asante sana...kesho mapema sanaNenda maduka ya chemicals nunua Chlorine(ya powder) then wmbie ukubwa wa kisima chako (in volume) watakwmbia kiasi cha kudose.
Samaritan Water Solution LTD ni suluhisho la tatizo la maji chumvi. Tunatengeneza machine bora kabisa za kuchujia maji chumvi na kuwa maji baridi zaidi hata ya maji ya DAWASA. Kutumia maji chumvi kuna hasara nyingi. Watu wengi hata hizi rangi za ngozi tulizo nazo hudhani ni ngozi yetu kumbe ni maji tu yametufanya tuwe na ngozi isiyovutia.
Kuoga maji yasiyokuwa na chemical yeyote hung'arisha na kuifanya ngozi yako iwe na nuru ya kuvutia na kukufanya ujisikie vizuri. Kunywa maji baridi na matamu yasiyokuwa na chemical zozote huongeza siku za kuishi na kufurahia matumizi ya maji nyumbani. Tafadhali usiteseke kwa maji ya chumvi. Kama una kisima chenye maji ya chumvi usihofu tena Samaritan Water Solution LTD wana suluhisho la tatizo lako.
Gharama za machine zinategemea na uwezo wa machine na shida iliyopo kwenye maji ya mteja. Kwenye maji kuna vitu vingi i.e. magadi, chumvi microorganism kama vile bacteria, virus na parasites pia kuna chemical kama nitrate na nitrite etc. Kabla ya kumtengenezea machine mteja lazima kwanza maji yake tuyapime maabara ili kujua yana chemical zipi.
Tukishapata report ya maabara ndio tunategeneza machine kulingana na tatizo la maji yake. Kukiwa na vitu (minerals) vingi kwenye maji ya mteja basi bei itakuwa ni tofauti na bei ya mteja let's say anahitaji machine kwa ajili ya maji ya DAWASA. Pia bei inategemea uwezo wa machine yaani mahitaji ya maji ya mteja. Mteja mwenye uhitaji wa machine yenye kutoa let's say litre 3,000 kwa siku bei yake itakuwa tofauti na bei ya machine yenye uwezo wa kutoa litre 10,000 kwa siku.
Tunatumia technology ya hali ya juu sana kuhakikisha maji yanakuwa laini, masafi na salama "Ultrafiltration with X-flow membrane technology".
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kwa njia zifuatazo: info@samaritanwater.co.tz 0676405024 au 0682717749 au tembelea tovuti yetu kuona huduma zetu zingine.
Asante sana...kesho mapema sana