Kwa wale walio mapenzini

Kwa wale walio mapenzini

Jamaniiii mbona warembo wameijaza hii dunia, maua mazuri kila mahali, watoto wakali sema mnafail kwenye kuyabania hayo mapenzi ili muonekane wagumu by nature.
Hata wa kutongoza sioni...nioneshe basi
 
Penzi jipya ni kama gari jipya tu hua halisumbuliwi ata na trafik sasa subiri lianze kuchoka linawez pata tu pancha ukaliacha hapo ata kwa miezi miwili wakat spea unayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mtu yupo happy unampa tena support ya nini ?


Daktari kazi yake ni kutibu wagonjwa sio kuwasifia wenye siha njema


Ebu tuwe positive rationally
Joy increase when it is shared..!

Hata na hivyo hili ni jukwaa la aina zote za mapenzi, wenye mapenzi mazima, mahututi na vile vile mapenzi mfu..!!

Are you jealous or sth?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom