Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,271
Ungeenda straight kwenye swali, Mimi nilijua unahitaji msaada kweli kweli na una shida ya maanaN
Ningeulizaje mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeenda straight kwenye swali, Mimi nilijua unahitaji msaada kweli kweli na una shida ya maanaN
Ningeulizaje mkuu?
Duuuuuuh sawa, siku nyingine kabla ya kupost thread nitakupm uihariri.Ungeenda straight kwenye swali, Mimi nilijua unahitaji msaada kweli kweli na una shida ya maana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4] [emoji4] [emoji4] we jamaa bhnDuuuuuuh sawa, siku nyingine kabla ya kupost thread nitakupm uihariri.
Thanks mkuu
Hata mimiNa kama 2 year sijaenda tanga nimepamiss sana na plan this year niende kama moja ya tour yangu
Mshanajr em pita na huku kwanzaNimeshakaa huko ni blaa blaaa tu,usipokuwa makini utakutana na fungus tu,sana sana wanahusudu manukato ya udi,ubani n.k lakini kwenye usafi kama watoto wa mjini, hakuna.
Hao waarabu ndio ugonjwa wangu Mkuu, utakua lini huko Pangani - Tanga?Mshanajr em pita na huku kwanza
Ulikuwa unaishi sehemu gani? Maana wilaya ya Pangani ndo nilipokuwa nikiishi,
Kule wamejaa shombi shombi wa kutosha ila kuwapata sasa, maana huwezi jua kama wapo free, mpaka uzoee, mi kijiji cha mwera ndo ukweni
Pia Tanga mjini wapo wengi tu na ni wasafi ila kama sio mwenyeji utapata tabu sana, maana kuna siku nilikuwa na wife kipindi hicho sikumuoa nilimwacha Lodge mi nikaingia kitaa kumchukulia chipsi nikakutana na mtoto wa kiarabu ile kumwangalia tu akanielewa ..........
Pia kuna siku nilienda na wife mgahawani alikuwa na tumbo hilooo, muhudumu sijui hakujua kama niliyenae ni wife tukawa tunatizamana sana mwishowe akanielewa....
Mimi kule ni mwenyeji maana ndo ukweni kuna jamaa yangu anataka mwisho wa mwezi wa tatu twende....
Kwa kweli kwa sasa ratiba zimenibana mno, ila kuna jamaa yangu anataka kwenda mwezi wa tatu mwishoni ndo alikuwa anataka nimsindikize kwa kuwa yeye ni mara yake ya kwanza kwenda, pia nimemwambia nitakuwa free kuanzia mwezi wa tanoHao waarabu ndio ugonjwa wangu Mkuu, utakua lini huko Pangani - Tanga?