Kwa wakina kaka tu

Kwa wakina kaka tu

Mwanamke mzuri ni yule alifanya aina zote za u.m.alaya akaamua kuacha
haijalishi umri
muhimu utulivu wa kimaendeleo.

Sioi kicheche wala kicheche mstaafu. Hawezi acha, ni anakuwa na mbinu bora zaidi za kucheza na wachezaji wengine bila ya wewe kujua. Wanasema, a leopard can never change its spots.
 
Ni kweli ni vuzuri ukaoa mdada wa above 25 na kuendelea, below that huwa bado wana akili za kitoto sana, ni sawa na mtu mwenye elimu ya chuo kikuu aoe Form 4 au darasa la saba, mara nyingi huwa ni tatizo sana coz kila utakacho sema yy atahisi kuwa ni kwa kuwa yy ni 4m4 au la saba, au yeye akisema jambo ukamsahisha anajihisi kuwa unamdharau.
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume
 
Above 30, HAJAWAHI FANYA, ambaye hajawahi toa mimba, kilomita isiozidi laki mbili! HAIWEZEKANI.
KakaJambazi hii ni mara ya pili unaturushia mawe,sidhani kama umewahi kupenda na kupendwa na mwanamke,be 30 or below....pole!
 
Last edited by a moderator:
Sioi kicheche wala kicheche mstaafu. Hawezi acha, ni anakuwa na mbinu bora zaidi za kucheza na wachezaji wengine bila ya wewe kujua. Wanasema, a leopard can never change its spots.

Kicheche wastaafu wapo,kuna wkt inafika unataka mtu wa kula nae pamoja na kushare feelings,kutaka kuanzisha familia nk,hivyo unastaafu rasmi!
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume

Lisikuumize sana wangu,piga goti huku ukifanya mambo mengine ya maendeleo,jichanganye kama kny ibada/mikutanoni...na humu kny social network...a right man will come along.....!
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume

Mmmh...zidi kuomba sana kama nia yako ni ndoa. Kuna wadada nawafahamu. bado wanasugua miguu...na kweli wanaitaka ndoa balaa..wanakimbilia 30+...!
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume

Ila shosti fanya upate mume within next four years,ukifikisha 30 na mume hujapata,ndio kabisaa inakuwa vigumu kumpata,usisubiri kutongozwa,ukimuona mwanaume mwenye 'vigezo' jisogeze,tabasamu,msalimie 'kaka habari yako'lols,hawa viumbe ni wetu..
 
ukimuona mwanaume mwenye 'vigezo' jisogeze,tabasamu,msalimie 'kaka habari yako'

Mkuu mitego yako hiyo weka mbali na watoto!!!

Asijirahisi sana,asije akaonekana mbeyabeans bhana!!

Awe decent na kama ni kujichanganya awe na mipaka yaani ajiheshimu. Mbona tutamwona kwenye chereko tbc.

Aamini tu kuwa atapata mume tena mwema, kuwa na mtoto isiwe shida!
Wangapi tumewaona wameolewa wana watoto na tena wakawa wake wazuri kuliko vigori!!
 
Ni mtazamo tu kuwa mwanamke akiwa mdogo ni rahisi kumuheshimu mumeo kwanza kama mume pili kama mtu aliemzid umri ama wewe umesahau ulivyokuwa unasisitizwa na wazaz ni lazima uheshimu waliokuzid umri? Na baadh ya wadada huwa na maringo sana wakiwa na 20s hata akisemeshwa tu barabaran na mwanaume yeye anakuwa mkal tu sasa unakuta taarifa zake za maringo zinasambaa kwa wanaume walio wengi na wanaamua kumpotezea tu had aje kushtuka kuwa hakuna mwanaume anatym nae yuko kwenye 30s ndo anaanza kurudi tena kwa wale aliekuwa anawaletea nyodo saa inakuwa too late wale wote washakuwa na wake zao...ndo unakuta mwanamke alikuwa decent ghafla anakuwa mama huruma kila akigongewa tu keshavua watu wanajilia nakutambaa mwishowe anakuja pewa mimba na mme wa mtu....Ndo kishney habar yake hivyo ....So msiwe mama huruma na msiwe rigid sana kuwa haste haste....nipe nipige kidogo huwezi jua mi ndo mme wako.....Ila si mimi, mi shakamata mwenza tunasukama gurudumu sasa.


heshima haichagui umri.
Tena ninahisi wanaume wanaooa mabinti waliowazidi sana ndio hawaheshimiwi kabisa na wake zao.
Sijui sababu wanajua wanapendwa, utakuta mtu anamjibu mumewe haangalii anamjibu wapi.
Tofauti na wadada waliowakubwa kwanza wanaelewa mazingira na heshima, anajua kudeal na mumewe kiheshma.
Kadri umri unavyoenda ndio watu wanazid kujiheshim na kujielewa.
Labda ulete point nyengine
 
kuolewa/kuoa sio lazima japo inaongeza heshima so wote tutulie mpk mr.right or mrs.perfect atapojisogeza
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume

Kuoa mwanamke aliyekwisha zaa na mwanaume mwingine kwangu ni BIG NO.
Make jamaa anakua anakumbushia kila anapotaka. Pia chukulia jamaa labda anauwezo, akawa anamsomesha mwanae nje ya nchi, afu wa kwangu wanasoma st kayumba, ivi izo dharau nitaziepukaje!
 
Mwenye above 30 lakini hana kitambi na hajolewa na ana hips za maana. Ani Pm.
 
challenge ziko popote maana hata hao wa below that age wakija lazima watadhihakiwa... lakin naamin watu serious wapo na wanawasiliana kupitia inbox (PM) .... wasikate tamaa maana ndoa siku zote hupangwa na mungu.
Baada ya kukaa Jamiiforums muda fulani, nimeshuhudia wadada wale wanaokaribia 30 ama wako above 30, wanaotafuta wenza wakidhihakiwa, leo nawauliza ina maana nyie mliooana mapema(mid20's) ndoa zenu ndizo zenye furaha?

Mdada aliyegonga 30, hawezi kuwa mke mwema/mama mzuri wa familia?

Ama its just your ego, hamtaki mtu atakayewashusha makofidensi?
 
Back
Top Bottom