Kwa wakina kaka tu

Kwa wakina kaka tu

Mmmh...zidi kuomba sana kama nia yako ni ndoa. Kuna wadada nawafahamu. bado wanasugua miguu...na kweli wanaitaka ndoa balaa..wanakimbilia 30+...!
Msimkatishe tamaa kuolewa kupo tu till 40 jamani shosti wanaosota miguu hujui ya moyo wake
 
Mi nna 26 nimezaa nikiwa na 21 na sijabahatika kuolewa so naweza kosa mchumba kwa sababu tayari nimezaa? So nikifika 30s sijapata mume
Utampata tu my dia wanaosema ni ngumu hawajui maisha hao,hadi 40 wanaolewa itakuwa hiyo?
 
Waaambie hao,asha baraka ameolewa ndio itakuwa sie 
Bahati ya mwenzako........! *malizia*
..Tatizo nyie wenyewe ndio mnapaniki ovyo, hata sielewi ni kwa nini mnakuwa hivyo...!
..Mnataka perfect men, wakati nyie wenyewe hamko perfect..!
 
Msimkatishe tamaa kuolewa kupo tu till 40 jamani shosti wanaosota miguu hujui ya moyo wake
Chances za kuolewa ukiwa na mtoto ni ndogo sana, hasa umri ukishaenda. unajua vijana wa siku hizi wamekuwa na kasumba flani, hawataki kubeba *mizigo* unlike miaka ya nyuma, mtu angeweza kuoa mwanamke bila kujali ana familia au hana..!
 
Bahati ya mwenzako........! *malizia*
..Tatizo nyie wenyewe ndio mnapaniki ovyo, hata sielewi ni kwa nini mnakuwa hivyo...!
..Mnataka perfect men, wakati nyie wenyewe hamko perfect..!

Umenena vema. Wanawake wanataka mwanamke mwenye sifa kama za malaika, kitu ambacho hakiwezekani. Miaka ikikaribia 30 wanaanza kuhangaika. So bad.
 
tatizo above 30 kashachezea migegedo mingi sanaaaa loh

alafu mnasahau kitu kimoja mwanamke akiza mid twenties mwili wake una kuwa na uwezo wa kurecover kwenye hali yake ya kawaida kirahisi zaidi kuliko above 30

wewe umesahau kwamba vibinti vya leo vinaanza kugegedwa at the age of 12 yrs.
 
hiyo kwa wanawake wa majuu sio wakibongo hawa wapenda hotchair

itabidi tuanze campaign ya kupunguza unene watu wasifikiri unene ni afya jamani. yaani nilikuja bongo juzi nilibaki kushangaa watoto wa miaka 30-40 wana matumbo makubwa nawauliza mko na mimba wanasema hapana ukisikiliza maongezi yao ni chakula tu kwakweli niliwaonea huruma waume zao maana wako na mashape kama apples kiuno,tumbo, ------ vyote viko pamoja.
 
Kweli haya maswali ni wakaka lakini unakosea kuwataka wakaka wakujibu maswali kama haya kwani wakaka hawajaoa,waliooa wanaitwa wanaume
 
Back
Top Bottom