Kwa wakina kaka tu

Kwa wakina kaka tu

Mkuu above 30 hafundishikiki kabisa??mie najua we learn as we grow and love takes time...

Ukweli hutaopata ndugu lkn wengi wana donda ndugu...

Umri wa thirty and above ndio mzuri, anakuwa amekomaa kimawazo na hisia kwa kuwa amepitia Mengi, hata asipotaka kuzaa na Mimi si kitu kikubwa sana kwangu mradi awe na Mapenzi ya dhati na kuyaonyesha kwangu na Tuenjoy kuwa wote!
 
Mkuu above 30 hafundishikiki kabisa??mie najua we learn as we grow and love takes time...

ni vigumu sana kumueleza kitu akakuelewa, ndoa nyingi zikifika above miaka 30 hubakia uzoefu tu
 
Huyo wa below 25 utakuwa unamfundisha nini?

mengi tu
How to love?
How to care?
How to make a monthly burget at home?
Vipi tutawalea watoto wetu?
Na vile vile ukioa below 25 inakufanya upende kutembea sehemu mbali mbali nae kama beach, mbuga ambayo itakupelekeeni kukuza mapezi yenu
Ila above 30 anaweza hata kukushinda kwa hoja endapo utakua na msimamo kuhusu kitu fulani
 
Heee kwani we mwalimu au mume?

Wazazi wake wamenikabidhi mtoto wao wanamaanisha, mimi ni
Kiongozi wake
Mlezi wake
Mtatua shida zake
Muondoshaji matatizo yake
Ni sawa na mwalimu
Akipotea naangaliwa mimi
Sawa Khantwe
 
Last edited by a moderator:
mengi tu
How to love?
How to care?
How to make a monthly burget at home?
Vipi tutawalea watoto wetu?
Na vile vile ukioa below 25 inakufanya upende kutembea sehemu mbali mbali nae kama beach, mbuga ambayo itakupelekeeni kukuza mapezi yenu
Ila above 30 anaweza hata kukushinda kwa hoja endapo utakua na msimamo kuhusu kitu fulani

Point yako nimeielewa vizuri kwenye hii post
 
ni vigumu sana kumueleza kitu akakuelewa, ndoa nyingi zikifika above miaka 30 hubakia uzoefu tu

No,the more we stay together,the more we learneach other,means the more we love each other!!!!love takesTIME it just doesnt come spontaneously na hilo la kuelewa ni malezi tu inategemeana mtu na mtu kuna below 25ni viburi na hawana heshima....nakubaliana na wewe ndoa zikifikisha miaka 30;zinskuwa mfu ila nahisi umechanganya madesa, hapa tunaongeles wadada above 30;na sio ndoa zilizogonga 30..km sijakuelewa nieleweshe tafadhali!!
 
mengi tu
How to love?
How to care?
How to make a monthly burget at home?
Vipi tutawalea watoto wetu?
Na vile vile ukioa below 25 inakufanya upende kutembea sehemu mbali mbali nae kama beach, mbuga ambayo itakupelekeeni kukuza mapezi yenu
Ila above 30 anaweza hata kukushinda kwa hoja endapo utakua na msimamo kuhusu kitu fulani

Explain further utakamvyofundisha mchuchu wako how to love and care hahaha joking......

Kuna wadada above 30 ni warembo kushinda hao below 25 , ns utataka uspend naye, muende wote beach/mbugani.


Hilo la kushindwa hoja ndio maana nikasema wengi wenu mna inferiority complex,kuna kosa gani akikushinda??? Mnapenda kuwa juu mnasahau nyie ni viumbe kama sie tu na sio super beings!
 
I see!

Wakina kaka msiwadhihaki wadada wanaotafuta wenza wakiwa kwenye 30's (ama zaidi).
Kuwadhihaki kunaashiria kupingana na mabadiliko yanayoendelea kutokea ndani ya jamii yetu.
Kuwadhihaki kunaashiria kutotambua jitihada za akina dada hususani kwenye sekta ya elimu, na namna wadada wanavyopanda ngazi za kiuongozi kitaifa na kimataifa.

Niwachagize wakaka wakubali mafanikio wanayofikia wadada hawa 30's (and above) maana itawasaidia wakaka kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza kama msongo wa mawazo, presha ya kupanda n.k
 
No,the more we stay together,the more we learneach other,means the more we love each other!!!!love takesTIME it just doesnt come spontaneously na hilo la kuelewa ni malezi tu inategemeana mtu na mtu kuna below 25ni viburi na hawana heshima....nakubaliana na wewe ndoa zikifikisha miaka 30;zinskuwa mfu ila nahisi umechanganya madesa, hapa tunaongeles wadada above 30;na sio ndoa zilizogonga 30..km sijakuelewa nieleweshe tafadhali!!

kuna mambo kwenye mapezi inakua kama ni utoto fulani lakini vinaleta furaha ndani ya mapenzi, kwanza mwanamke ameshakua mtu mzima bibi hilo utawezaje kumfantia mambo kama hay, kwa kawaida mwanamke akifika miaka hii anakua yuko serous zaaidi kuliko masihara. Na ukimfanyia atakwambia mimi sitaki mambo ya kitoto

Tunaongelea umemkuta mwanamke ana miaka above 30 than ukamuoa na sio kua mumueshi tangu mna miaka 21 na mlipofika 30 ndio mkaja kuoana
 
Back
Top Bottom