CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu kuna kila Dalili kwamba DUNIA inaenda kukumbwa na Uhaba wa Chakula ambao wachunguzi wanadai haujawahi tokea tangia Kuumbwa kwa Hii Dinia, Hali ni Mbaya sana USA na Marekani inaenda kukumbwa na Uhaba mkubwa kabisa wa Ngano na Mahindi, ila kwa USA wao wanatumia sana NGANO na Kiangazi ambacho hakijawahi onekana USA kimepelekea Upungufu mkubwa wa Mavuno ya Mahindi na Ngano
Hali si shwari kwa URUSI tena, URUSI ni Nchi ya Pili kwa Kuzalisha NGANO BAADA YA USA, na zote zina Ukame mkubwa sana
Mahindi yakiwa yamenyauka huko USA
Ukame USA
mahindi yakiwa yamenyauka
Ukame USA
Huu ni wakati wakujipanga kwani Hali haitakuwa nzuri kabisa na Bei ya NAFAKA inatarajiwa kupanda Mara Dufu
Hali si shwari kwa URUSI tena, URUSI ni Nchi ya Pili kwa Kuzalisha NGANO BAADA YA USA, na zote zina Ukame mkubwa sana
Mahindi yakiwa yamenyauka huko USA
Ukame USA
mahindi yakiwa yamenyauka
Ukame USA
Huu ni wakati wakujipanga kwani Hali haitakuwa nzuri kabisa na Bei ya NAFAKA inatarajiwa kupanda Mara Dufu