Kwa Wajasiriamali wa Kilimo cha Mazao ya Chakula/wafanya biasahara wa nafaka za chakula

Fursa kama hii ya uhaba wa chakula duniani ni muhimu sana kwa wajasiliamali wa Tanzania. Tatizo ni kwamba nafasi kama hizi huwa atuchukui advantage yake wakati zinapojitokeza. Ni muhimu kujipanga haraka nakuweza kuingia kwenye hii biashara ya mazao ya nafaka.

Nchi letu limejaliwa kuwa na ardhi yenye rutuba na mito mingi isiyokauka lakini kwa bahati mbaya pia tukajaliwa kuwa na viongozi legelege chini ya uongozi wa CCM. Kama serekali ingekuwa na akili nzuri ingewezesha wakulima wengi ambao wako karibu na vyanzo vya maji wakalima kilimo cha umwagiliaji. Kilimo kingewatoa wananchi. Sasa kama nchi kama Marekani inalia ukame sisi tufanyeje? Kutegemea mvua peke yake hakitatutoa!!
 
Watu wanapo kuwa wkijadili ishu muhimu ni Bora ukwa unaacha mzaha
We umeona ishu muhimu ni ukame wa Urusi na marekani????? we have a lot of problems facing our community, na bado hatujazijadili, instead of that tunashawishi wananchi kuaandamana hata pale ambapo tungetafuta solution kwa amani. How serious are we on our own problems????? unataka tuwe serious kwa matatizo ya marekani na urusi kuliko matatizo yetu wenyewe???????
 
We umeona ishu muhimu ni ukame wa Urusi na marekani????? we have a lot of problems facing our community, na bado hatujazijadili, instead of that tunashawishi wananchi kuaandamana hata pale ambapo tungetafuta solution kwa amani. How serious are we on our own problems????? unataka tuwe serious kwa matatizo ya marekani na urusi kuliko matatizo yetu wenyewe???????

Wewe ni Mjinga kweli, Umeona hii thread tunajadili Ukame wa Marekani na Urusi? Kwanza sijui umetokea wapi make hili jukwaa hatuna watu wenye upeo kama wako, na hapa haijadiliwi siasa hapa, ishu za mandamano peleka Huko kwenye jukwaa la Siasa huku watu wanajadili jinsi ya kutengeneza furusa,
 
Wewe ni Mjinga kweli, Umeona hii thread tunajadili Ukame wa Marekani na Urusi? Kwanza sijui umetokea wapi make hili jukwaa hatuna watu wenye upeo kama wako, na hapa haijadiliwi siasa hapa, ishu za mandamano peleka Huko kwenye jukwaa la Siasa huku watu wanajadili jinsi ya kutengeneza furusa,
Umemaliza kutukana????? wewe una upeo gani juu ya fursa zilizopo ndani ya nchi yako???? Ungekuwa na upeo ukawaza fursa ambazo ziko wazi hata kipofu anaziona???? ndani ya nchi yako, Wilaya 42 zimetangaza kuwa na uhaba mkubwa wa chakula, hata mfanyabiashara kipofu anajua hiyo ni fursa, sasa wewe unayejiita una upeo wa juu, unajadili hilo???? huna la maana la kujadili????? Hongera kwa kuona wewe una upeo wa juu, unayejadili unachokiona kama fursa wakati kiko wazi!!!!! Elewa maana ya fursa, ndiyo uje kujadili!!!!
 
Back
Top Bottom