Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
nimeona kwa macho yangu
Jaman shemeji hujaona vizuri ebu twende azam kwanza nkakununulie ice cream
nimeona kwa macho yangu
shem Kaizer nimekununia rasmi na mkeo DEMBA
my love Ms.Lincoln mery mery christmass n prosperous new year
dada yangu Heaven on Earth much love and happy new year and mery x-mass
Abou Saydou cjakusahau lol
and all jf members may u hv a very blessed end of the year 2014 and a happy new year 2015.
Jaman shemeji hujaona vizuri ebu twende azam kwanza nkakununulie ice cream
Wooow atoto thanx ubarikiwe uishi maisha marefu .wsh yah merry X-mass ñ happy new year
Pokea hizi👉💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟
thanx alot, yo greatly wellcome
uwiii huu ni ugonjwa wangu, ngoja nivae kale kagauni kangu, aisee inawezekana kweli ckuona vzr
Zikiwa zimebaki siku chache sana kufunga mwaka, napenda kiwashukuru wadau wote wa jukwaa hili ambao wameendelea kulifanya moja ya super brands za JF.
TANGA WING: Nawashukuru sana kwa kila kitu. Mungu azidi kutupa moyo wa kujali wenzetu kama sehemu ya maisha yetu wenyewe. Ujio wa Mzee wa Rula umekuwa chachu muhimu na tunaamini wadau wengine watajitokeza na kutuunga mkono. Ahsante sana katibu Mwanyasi, mama wa wing KOKUTONA, members wote CHUAKACHARA, YNNAH, Arabela na bila kumsahau mjukuu kipenzi amu.
A-Wing: ahsanteni sana kwa support.
Dar wing: naona jitahada zenu si mbaya
Mwanza wing: tuko pamoja.
Nawatakia heri ya noeli kwa wale wanaoshereheka na mwaka mpya wa 2015.
Nawapenda nyote.
Babu DC, 1947!
mweh...love's in the air..!
Halafu.nakapenda unapendezaga pigia na simpo kabisa na kikuku ikibidi shem wenye wivu wajinyonge lol
haa shost ujinyonge tena?????? Mume mtamu jamani eeeehhh usisikie tu.....Oooppsss......! Nisiye na mume ntajinyonga kwa gidamu ya kiatu..
haa shost ujinyonge tena?????? Mume mtamu jamani eeeehhh usisikie tu.....
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, swahiba, upo?
Missed you so much brother?
Kwa nini tunapotezana kiasi hicho??
Karibu basi tule vibua na uwono nyumbani kwa bibi!!
Mhhhhhhhhhhhhh, can you say that again mzee mwanzangu??
Usiponirudishia my fellow tablet wangu klorokwini sitaongea na wewe 2015:confused2::confused2::confused2:.......Nipo swahiba,.....huwa nachungulia tu thread kisha naondoka na mvi zangu.
Nashukuru saaaaana kwa mualiko, ngoja nipige polish Pekoz, na Raizoni zangu...
naamini siku hiyo tubazioni Slim fits, Minis na Maxy Dress za kina Nyamayao, MwanajamiiOne,
Gaga, nyumba kubwa, Maty, Lizzy, Kaunga, King'asti, et al....
bila kuwasahau kina bro The Finest, Mentor, Asprin, The Boss, BAK....etc.....
tupo pamoja Swahiba, 2015 is Loading.
haa shost ujinyonge tena?????? Mume mtamu jamani eeeehhh usisikie tu.....ananifanya mpaka nataka kupotea jf atii .Oooppsss......! Nisiye na mume ntajinyonga kwa gidamu ya kiatu..
Hommie hii ni kazi ya chama au shughuli binafsi kwenye akaunti ya Escrow??Jaman shemeji hujaona vizuri ebu twende azam kwanza nkakununulie ice cream
Wazeee wa bandari....meli hiyoooUsiponirudishia my fellow tablet wangu klorokwini sitaongea na wewe 2015:confused2::confused2::confused2:
BTW, Ulikuwa wapi siku zote mzee mwenzangu??
Nakuonaga tu na uchokozi kule nyumbani kwetu Liverpool.... Mi hata sichangii manake BR ananiudhi mpaka nakosa cha kuandika.