Huo utii alianza kuukosa kwa mama aliyemzaa ataupata kwako kweli.Nitamfundisha kupika, Mi pia nitakuwa namsaidia kupika, Ninachohitaji awe na utii kwangu, Na awe ananielewa, Kutojua kupika kwake si ishu kubwa kwangu.
Kuchepuka ni kawaida mkuu,noma ni kukimbiwa tena kuelekea kule ulikodhani ni duni mfano kwa beki3.Kaka Malaya ni Malaya tu hata upikee, mpaka upewe certificate, na kitqndani ubinukeee ubilingiteee kama mchepukaji atachepuka tuuuuu
yan hapo ni aibu yako sio ya mkeoImagine uko na rafiki yako mkeo anawaletea chakula kibichi au kina kasoro nyingine hiyo aibu waificha wapi ?
Piga chafya huku ukijifunza kupika tu. Kama siyo kwa ajili ya mume basi hata watoto wako.chaaaaa.........
kwan mesema sijui!!!! wanangu watakula nijue nisijue.....................ila uzi wa kusema pika uolewe aaaah wapPiga chafya huku ukijifunza kupika tu. Kama siyo kwa ajili ya mume basi hata watoto wako.
Uko sawaKila ntu ana sample zake .
Kila siku utarudi na parcel ya kiepe nyumbani!si utumwa huo!
Upo sahihi kakaCongrats.
Na mtu anaweza kujifunza tu mambo mengi tunajifunza tu siyo tunazaliwa nayo hata mke akiwa hajui kupika akaamua kujifunza na kuwa master jikoni vizuri tu.
Tatizo linakuwepo pale baadhi wanalichukulia kama ni mzigo kwa mwanamke ilihali ni tunu muhimu kwa mwanamke kujua kupika.
Hiyo si ndoa Bali kamchepukondoa za mkataba ni nzuri baada ya miezi 3, unaoa mwingine.![]()
Na mwisho wa siku utampandisha kacheo kwa utumishi uliotukuka![]()
![]()
![]()
![]()
Mta ajiri mfanyakazi

HahahahaNa mwisho wa siku utampandisha kacheo kwa utumishi uliotukuka![]()
Mkuu sasa unakisasi na hizi mbavu zangu.Hahahaha
Baadaye utatengua uteuzi wa mkeo na kumwambia asubiri kupangiwa kazi nyingine













