Kwa wadada wanaosaka ndoa

Kwa wadada wanaosaka ndoa

Wanaume tunatofutiana mahitaji jamani
Kuna watu wana wake zao hawajui hata kupika chai. Ila huwa sjui kwa nini bado wanaishi na hao wanawake.
Japo kwangu mimi kama hujui kupika siwez kukuoa, siwez kuwa hata bf wako wa muda tu. i know baadhi ya wanawake ambao hawajui kupika na hawaja wahi achwa.
Wanaume Maboya wapo sana tu ndugu......utakuta limwanaume lenyewe ni kwenda kununua chips na kumpeleka mke kula hotelini yaani hajawahi hata kugusa jiko,khaaah!!
 
Haahahahahahahahahahah mi G anajua kupika wewe nna raha jamani yaan nimeokota almasi kwenye mawe
Huyo ni bwege we unasema umeokota Almasi.....harafu huyo sidhani kama ni mumeo huyo atakuwa boyfriend tu
 
Mm mwenyewe sijui kupika,nipate mke nae hajui kupika,,,maana yakuoa haitakuwepo hapo,,bora niendelee kukominika tu mikate nachai,then nalala!
 
Hakuna kasoro kubwa kwa mwanamke kama kutokujua kupika.
Kuna mambo matatu kila mwanaume angependa kuyaona kwa mke wake.
1 upishi unaoridhisha
2 usafi
3 mapenzi ya kweli
Na bahati nzuri vitu vyote hivyo ni tabia za kijifunza lakini wadada wa siku hizi hayo mengi hawayawezi
Swala LA upishi ni kipaji baba .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom