Kwa wadada wanaosaka ndoa

Kwa wadada wanaosaka ndoa

Wanajifunza kukata viuno,hawana unyenyekevu,hawana lugha ya kubembeleza,hawajali bajeti ya familia!!!!!!
Mke kama huyo anipitie mbali.
Wanajua mapenzi ni kugawa tendo la ndoa hata Mara tano kwa siku.
Jikoni akupa sebuleni akupa bafuni akupa chumbani akupa mpaka makoridoni akitoka hapo baby naomba hela ya kusuka.unategemea kidume niendelee na mke anayejua kugawa nyapu tu ?

Thubutu
 
Wanajua mapenzi ni kugawa tendo la ndoa hata Mara tano kwa siku.
Jikoni akupa sebuleni akupa bafuni akupa chumbani akupa mpaka makoridoni akitoka hapo baby naomba hela ya kusuka.unategemea kidume niendelee na mke anayejua kugawa nyapu tu ?

Thubutu
Anataka tu ufemaana ile shughuli yahitaji tumbo lililoridhika.
 
Kumbuka jukumu namba moja la mwanamke wa kiafrika ni kupika ndani hata wewe japokuwa umepika kuanzia utotoni mpaka Leo ukioa ama umeoa hata mkeo hata kubali( kama anakujali) utapakae masizi jikoni ilihali yeye aangalia muvi sebuleni
Umenunua chakula ndani,lakini unakula nje...kwanini usihamie unakokula. Hivi mke mke asiyejua kupika atajua kufua kweli.
 
Mengine yepi mkuu yaliyonathamani kuliko njaa yako. Mke asiyejua kupika mara nyingi huwa hawezi hata kutunza watoto.
Nitamfundisha kupika, Mi pia nitakuwa namsaidia kupika, Ninachohitaji awe na utii kwangu, Na awe ananielewa, Kutojua kupika kwake si ishu kubwa kwangu.
 
  • Thanks
Reactions: lup

Similar Discussions

Back
Top Bottom